Shabani Ajaha
Member
- Aug 18, 2021
- 78
- 60
KWA NINI VICTORIA CHARLES MWANZIVA MAKAMU MWENYEKITI UVCCM TAIFA 2022-2027
Kuna mambo Matano Muhimu sana katika Maisha ya kawaida mtu anapotaka kununua kiwanja katika eneo Fulani na kujenga nyumba lazima azingatie upatikanaji wa huduma muhimu za Kijamii kama Maji, Umeme, Nyumba za Ibada, Shule na Hospitali.
Vivyo hivyo hata katika uwanja wa siasa wananchi wanapoenda kupiga kura kwa mgombea Fulani lazima wazingatie mambo makubwa Matano muhimu kutoka kwa mgombea. Moja dhamira ya dhati ya mgombea katika nafasi anayoiomba, Pili Historia yake ya uongozi na kazi mbalimbali alizowahi kuzifanya, Tatu Maono na sera za mgombea kwenye nafasi anayoiomba kwa ujumla, Nne Mahusiano ya mgombea na Jamii anayoomba kuiongoza, Tano uwezo wa mgombea katika kujenga hoja na kulinda maslahi ya jamii anayotazamia kuiongoza.
Uongozi ni dhamana ambayo mtu hupewa na watu ili awaongoze kuyafikia malengo mbalimbali wanayojiwekea kama taasisi au jamii. Tunaenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi 2022, Jumuiya inakwenda kupata viongozi ambao wanatakiwa kuisogeza hapa ilipo na kuipeleka mbele zaidi. Kuna mazuri yamefanyika katika Jumuiya lakini pia yapo mengi yanahitaji kufanyika ili kuijenga UVCCM imara na inayojiendesha kitaasi zaidi kwa maslahi ya Vijana wa Taifa letu na Chama Cha Mapinduzi.
Ili kuyafikia haya yote Vijana tunataka kumpata Kiongozi ambaye ana uthubutu wa kufanya kazi kwa bidii na weledi wa hali ya juu huku akizingatia kanuni za Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Cha cha Mapinduzi.
Victoria Charles Mwanziva ni mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM ambaye amejipambanua kwa uwezo wake kiuongozi na kusimamia maslahi ya vijana, tumeshuhudia akipambana kuwakutanisha vijana na fursa mbalimbali za kitaifa na kimataifa, lakini pia tumeshuhudia akifuatilia maagizo mbalimbali ya Mhe. Rais kwenye Wizara kadhaa kuhusu fursa za vijana ili kujikwamua kiuchumi.
Victoria Charles Mwanziva ni Kiongozi aliyesheheni sifa zote za kiuongozi nilizozianisha hapo mwanzo, ana mahusiano mazuri na Vijana ambao wanakwenda kuweka Imani kwake kuwaongoza kwa kipindi cha miaka mitano ndani ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi.
Victoria Charles Mwanziva ni kiongozi mwenye maono na amejipambanua kuwa ni mtu mwenye uwezo wa kuyatafsiri maono yake ya kuwatumikia vijana kwa vitendo.
Victoria Charles Mwanziva ni Kiongozi asiyejikweza mara zote anajishusha kuwasikiliza anaowaongoza ni mshauri kwa vijana wengi wanaohitaji ushauri kutoka kwake.
Victoria Charles Mwanziva ni kijana anayekipenda Chama cha Mapinduzi na amekitumikia kwa moyo wake wote kwa kujitoa ngazi zote Kuanzia matawini hadi ngazi ya Taifa.
Victoria Charles Mwanziva ni muunini wa Siasa za hoja na uongozi shirikishi akiamini katika umoja ili kuyafika matokeo bora na ya haraka katika Taasisi
Victoria Charles Mwanziva ni mwanamke hodari anayeamini katika uwezo kiutendaji na vipaji vya watu
Victoria Charles Mwanziva ni Dada mlezi kwa vijana wengi akitumia karama yake ya uongozi kuwalea na kuwainua wengine kukua kiuongozi.
Kuna mambo Matano Muhimu sana katika Maisha ya kawaida mtu anapotaka kununua kiwanja katika eneo Fulani na kujenga nyumba lazima azingatie upatikanaji wa huduma muhimu za Kijamii kama Maji, Umeme, Nyumba za Ibada, Shule na Hospitali.
Vivyo hivyo hata katika uwanja wa siasa wananchi wanapoenda kupiga kura kwa mgombea Fulani lazima wazingatie mambo makubwa Matano muhimu kutoka kwa mgombea. Moja dhamira ya dhati ya mgombea katika nafasi anayoiomba, Pili Historia yake ya uongozi na kazi mbalimbali alizowahi kuzifanya, Tatu Maono na sera za mgombea kwenye nafasi anayoiomba kwa ujumla, Nne Mahusiano ya mgombea na Jamii anayoomba kuiongoza, Tano uwezo wa mgombea katika kujenga hoja na kulinda maslahi ya jamii anayotazamia kuiongoza.
Uongozi ni dhamana ambayo mtu hupewa na watu ili awaongoze kuyafikia malengo mbalimbali wanayojiwekea kama taasisi au jamii. Tunaenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi 2022, Jumuiya inakwenda kupata viongozi ambao wanatakiwa kuisogeza hapa ilipo na kuipeleka mbele zaidi. Kuna mazuri yamefanyika katika Jumuiya lakini pia yapo mengi yanahitaji kufanyika ili kuijenga UVCCM imara na inayojiendesha kitaasi zaidi kwa maslahi ya Vijana wa Taifa letu na Chama Cha Mapinduzi.
Ili kuyafikia haya yote Vijana tunataka kumpata Kiongozi ambaye ana uthubutu wa kufanya kazi kwa bidii na weledi wa hali ya juu huku akizingatia kanuni za Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Cha cha Mapinduzi.
Victoria Charles Mwanziva ni mgombea wa nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM ambaye amejipambanua kwa uwezo wake kiuongozi na kusimamia maslahi ya vijana, tumeshuhudia akipambana kuwakutanisha vijana na fursa mbalimbali za kitaifa na kimataifa, lakini pia tumeshuhudia akifuatilia maagizo mbalimbali ya Mhe. Rais kwenye Wizara kadhaa kuhusu fursa za vijana ili kujikwamua kiuchumi.
Victoria Charles Mwanziva ni Kiongozi aliyesheheni sifa zote za kiuongozi nilizozianisha hapo mwanzo, ana mahusiano mazuri na Vijana ambao wanakwenda kuweka Imani kwake kuwaongoza kwa kipindi cha miaka mitano ndani ya Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi.
Victoria Charles Mwanziva ni kiongozi mwenye maono na amejipambanua kuwa ni mtu mwenye uwezo wa kuyatafsiri maono yake ya kuwatumikia vijana kwa vitendo.
Victoria Charles Mwanziva ni Kiongozi asiyejikweza mara zote anajishusha kuwasikiliza anaowaongoza ni mshauri kwa vijana wengi wanaohitaji ushauri kutoka kwake.
Victoria Charles Mwanziva ni kijana anayekipenda Chama cha Mapinduzi na amekitumikia kwa moyo wake wote kwa kujitoa ngazi zote Kuanzia matawini hadi ngazi ya Taifa.
Victoria Charles Mwanziva ni muunini wa Siasa za hoja na uongozi shirikishi akiamini katika umoja ili kuyafika matokeo bora na ya haraka katika Taasisi
Victoria Charles Mwanziva ni mwanamke hodari anayeamini katika uwezo kiutendaji na vipaji vya watu
Victoria Charles Mwanziva ni Dada mlezi kwa vijana wengi akitumia karama yake ya uongozi kuwalea na kuwainua wengine kukua kiuongozi.