Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
Wakazi wa Wilaya ya kilosa Mkoani Morogoro wakijaribu kuyanusuru maisha yao baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko makubwa yaliyosababisha kuvunjika kwa nyumba wilayani humo (Source: Mwananchi 29/12/09)
Licha ya ugumu wa maisha waliyonayo watanzania toka uhuru mwaka 1961, bado wana mapenzi ya dhati na imani kubwa juu ya chama chao cha CCM kama inavyooneshwa pichani mkazi wa kilosa akijaribu kujiokoa toka kwenye mafuriko yaliyobomoa nyumba zao huku akiwa amevaa T-shirt ya CHAGUA CCM....CHAGUA KIKWETE!!