Chagonja na sinema ya mwaka!

Mkuu unapokuwa umeaminiwa na jamii kwa kiwango kama CCM ilivyokuwa imeaminiwa na watz basi inatakiwa uheshimu sana wanaokuamini, ulinde imani hiyo na uwe na mpango wa kuimarisha. Lakini ukianza kuitumia vibaya kwa maslahi binafsi ni wazi imani hiyo itatoweka na ikitoweka imani ya jamii kwako basi kila kitu huwa kigumu kwako.
Bahati mbaya CCM wanaendelea na tabia yao ya siasa za maji taka sasa wewe subiri mwisho wake, wanaccm ndio watakuwa waathirika nambari moja japo tutaathirika wengi pia. Yaani CCM wanataka waendelee kufanya madudu halafu watu wavumilie tu kwasababu eti mabadiliko yanaweza kuvunja amani, hicho kitu hakiwezekani na sasa inaonesha watu wanayahitaji mabadiliko bila kujali yatakuwa ya aina gani. Hivyo ccm walitakiwa kwasasa watii mahitaji ya jamii wasichelewe kama walivyochukua muda mrefu huko Zanzibar, na kimsingi rasimu ya warioba ndio ilikuwa mwanzo mzuri na walichotakiwa wakifanye ccm ni kuziongezea nguvu taasisi za muungano lakini sio kuvuruga structure nzima.
 
kwa hiyo unatuhakikishia ugaidi utaendelea?tena unasisitiza kwa uchungu kabisa?sasa nakubaliana na akina Yericko kuwa hii ni planned issue.

Mahala fulani huko Kakonko-Kigoma (mwaka jana) yalivumbuliwa mabomu mazito na wananchi waliokuwa wakichimba mtaro wa maji.

JW waliitwa kuja kuyategua. Teh! yaani Raia walijazana hapo kama vile wako Uwanja wa Taifa kwenye maadhimisho fulani(pamoja na onyo/kalipio lililokuwa likitolewa).

Usijaribu kuonja sumu kwa kuiramba. Hata Nigeria yalianza hivihivi, "critical-thinkers" kama nyie wakawa wanayajadili easily tu kama hivi nakuhusisha matukio na propaganda za serikali tawala.

And what is going on now over there, i can not mention it as you also aware of it.
Thanks!
 

Very arrogant narration. Mh!

Yaani unachangia mada as if hauishi ndani ya Taifa hili.

Ok!, wakisha kula kichapo huko Tanga na wewe(raia wa kawaida kama mimi) ubaki na hari gani?

Think-Big!
 
Kuna ushilikiano zaidi ya kutoa majina tegeta escro ya mkombozi bank pesa zilikwenda kwa nani ili twendeLee kutoaushilikiano. Au unadhani bado watu mazuzu

Mh!

Hilo nalo neno Mkuu. Lakini ktk issue hii, si vyema kufanya mzaha na kubeza mapambano yanayofanywa na DOLA huko Tanga & maeneo mengine.

It is going to cost the Country.
 
Mkuu Chakaza tuiombee nchi yetu dhidi ya huu uhuni unaotaka kufanywa na hawa wahuni. Hapo kwenye rangi haiingii akilini mtu atoe kauli mbili ambazo kwa kweli zinaacha maswali mengi sana kwa Wananchi. Rais wa nchi yuko wapi kwenye swala hili ili azungumze nini kinachoendelea? Au kama kawaida hayamhusu anaendelea kupiga kimya tu huku kukiwa na maswali mengi ambayo hayana majibu.

 
Last edited by a moderator:

Mkuu;
Sijajua sasa hapa nikujibu ktk aspect gan! Maana naona habari ya UDINI, then mwisho unaweka WAPINZANI. Which is which?

Any ways, issue ya ahadi ya OIC, KADHI's COURT, CHUO e.t.c kwa waislam ni issue tata na MTAMBUKA. Inawezekana CCM wamefanya ahadi izo kwa shinikizo au namna yoyote ile kama hiyo.

Suala linabakia kuwa, vitu kama OIC & MAHAKAMA YA KADHI ni mambo Mtambuka kwa maana yakwamba yanahitaji maridhiano ya Kitaifa. Kwa maneno mengine unaweza kusema ni mambo "Nyeti!". Sioni sababu ya serikali kushindwa kuratibu mipango hiyo kisayansi na kimjumuisho(consulting all groups & the community in general). Vinginevyo haitapendeza.

Kuna mtu amewahi leta uzi mzuri sana humu ndani ukihusu halihalisi ya mambo hayo mawili na ushauri kwa serikali juu ya kujiandaa na kufanya makubaliano yakutosha kama Taifa.

Lakini, hata kama CCM itatoka madarakani , chama au serikali yoyote itakayoingia madarakani, naamini itakuwa na changamoto kubwa mno, tena sana juu ya masuala haya mawili(kutokana na Nature ya Watanzania ninaowajua).

Habari kuogopa wapinzani, si kweli. Sababu kubwa za mambo hayo ni kama nilivojaribu kukueleza hapo juu.

Thanx!
 
Mikwara kibao ! Hivi vile ' VITU VYA NCHA KALI ALIVYOKUWA ANAVITANGAZA CHAGONJA ENZI ZILE VILIKUWA NA UKWELI GANI ? ' unataka tumuamini kwa lipi ?
 
Last edited by a moderator:
Uroho wa madaraka unawafanya CHADEMA kupinga kila jema linalofanywa na CCM kwa watanzania.
Jiheshimu we baba, ccm haina nia njema kwa nchi hii hata kidogo, ni mashetani yenye sura ya kibinadamu bora TANU
 

Mkuu;
Naamini hii busara hapa chini itakusaidia sana,wewe pamoja na wenzako.
 

Attachments

  • 1424031067329.jpg
    30.3 KB · Views: 335
Mkuu;
Naamini hii busara hapa chini itakusaidia sana,wewe pamoja na wenzako.

Hivi Kati ya CCM na opposition parties nani anabomoa kiasi cha kushindwa kujenga?

Nani kabomoa maadili ya nchi hii?

Nani kabomoa miiko ya uongozi na kuasisi biashara ya siasa?

Nani kabomoa uchumi wa viwanda?

Huyo uliemweka muulize maswali haya....
 

Boko haram ni state sponsored terror group, hii ya Tanga ni kichekesho ni kwa ajili ya kutafuta kula za waoga mwaka huu,

Hii sinema ya Amboni inachekesha, wakazi wa Amboni hawashituki na hawajawahi kuona hao magaidi lakini serikali inasema wapo inapeleka wanajeshi na polisi. Wachimbaji wa mchanga na madini mengine kwenye mapango ya Amboni wakihojiwa na ITV wanasema wanataka wanajeshi na polisi waondoke wenyewe waendelee kuchimba mchanga. Hii sinema hawakushirikisha wenyeji wa Amaboni
 
Mh!

Hilo nalo neno Mkuu. Lakini ktk issue hii, si vyema kufanya mzaha na kubeza mapambano yanayofanywa n
a DOLA huko Tanga & maeneo mengine.


Nani anabeza? Hivi kwa akili yako hiyo yakuvukia Barbara unaonaje police kuwa na nguvu yakudhibiti maandamano ya Amani yasiyo na silaha na kushindwa kudhibiti majambazi au ugaidi wenye madhara kwa watu?

Mbona kwenye maandamano huonesha mbwembwe za silaha nzito then wanatetemeshwa na watu wanne tu?

Dhamana iliyopewa serikali kulinda usalama iko wapi ikiwa police wanasalimu amri kwa majambazi??
It is going to cost the Country.


CCM na viongozi dhaifu ndio wanaoigharimu nchi kwakushabikia na kutenda upuuzi...

Mwigullu alionesha shupavu Sana wa kupambana na ugaidi na inaonesha aliutamani Sana mbona sasa anashindwa? Simnaweza kuwajua na kuwafichua magaidi mbona hawa mnawashindwa??
 

Mkuu; pahala popote palipo na watu wawili au watatu, lazima watofautiane mawazo. Hata kama mtu au system fulani (eg.CCM kwa sasa) itakuwa na mazuri yapi, watapatikana watu kadhaa waku'disqualify.

Hata TANU & Nyerere mwenyewe huyu tunayemuenzi(R.I.P) alipata kujaribiwa. Kuna kundi fulani lilitaka kumpindua be it kwa nguvu au Kidemokrasia miaka hiyo na likapata idadi nzuri tu ya Watanzania kama ilivyo kwa upinzani waleo hii.

Siasa Majitaka zipo tele mle CHADEMA( Rejea Hotuba ya Z.KABWE kwa media kipindi cha mgogoro wao).

Tusihame sana mada. Tunajadili issue ya Tanga. Naona hapo hujagusia hata kidogo habari hiyo.

Thnx!
 


Yupo busy kuukabili UKAWA na LOWASA
 
Last edited by a moderator:

Teh!

Nikushauri upumzike kwanza. Ukiamka kesho, hope fahamu zitakurudi.

Kama kesho utakuwa na hayahaya unayoyasema, basi tumuombe Mungu waingie hao unaoamini watafanya zaid ya hawa waliopo(CCM).

Ki'roho safi tu mkuu.
 
Teh!

Nikushauri upumzike kwanza. Ukiamka kesho, hope fahamu zitakurudi.

Kama kesho utakuwa na hayahaya unayoyasema, basi tumuombe Mungu waingie hao unaoamini watafanya zaid ya hawa waliopo(CCM).

Ki'roho safi tu mkuu.



Ndio akili yako ilipoishia kupambanua?
 
Reactions: BAK

Bomu la Olasiti kanisani Arusha mlimkamata muhusika yupi?

Bomu la Soweto Arusha kwenye mkutano wa CDM nyie wazee wa Kichaa Gonja mlimkamata nani?

Ulimboka alitekwa na majambazi wapi?

Lwakatare aliambiwa na haohao kina kichaa Gonja kwamba ni Gaidi hatari sana mpaka mbunge wako sasa ni Waziri mdogo akadiriki kusema ana ushahidi duniani na mbinguni kwamba Lwakatare ni Gaidi, ni nini kilitokea?
Nadhani mnajua wenyewe CCM na PoliCCM.

Leo hii utakuja kuniaminishaje wavaa yeboyebo eti wamewatoa polisi wako kijasho mpaka mkaenda kuita wanajeshi lkn magaidi yakakimbia yote.
Haya, hao askari majeruhi wako wapi? Kwanini hamtaki waandishi wa habari?
Huyo mwanausalama aliyekufa anazikwa wapi, lini?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…