Ndugu Fredrick T. Sumaye amekuwa press secretary wa Wema Sepetu.
Alianza kazi rasmi mwezi huu wa August 2017 siku Wema alitakiwa kupewa kadi ya chadema lakini akaenda kwenye kesi yake.
" I like Mr. ZERO the way he is positioned"
Umejuaje kama anashinda humu kama wewe hushindi humuMwenzetu unapata kipato wapi maana unashinda humu.
Mwenzetu unapata kipato wapi maana unashinda humu.
Sasa siasa za Tanzania zimefika pabaya sana. Tumebaki wachache tunaojitambua kwa sasa.
Nauliza tu kuwa kwa vile Mkuu wa nchi hajaongea chochote hata CHADEMA nao hawahoji chochote. Hii ina maana sana kisiasa.
Upinzani unacheza mchezo wa kisiasa wa JPM bila kujijua.
Wengine watakataa ila ukweli upo juu ya matamko ya CHADEAM yaliyotolewa na makamanda wa Chama hivi karibu wakiongozwa na:
1. Kamanda Wema Sepetu;
2. Kamanda Tundu Lissu;
3. Kamanda Mbowe, mzee wa gia za angani.
Wengine wamekosa ya kusema kwa sasa, akiwepo
1. Kamanda Lema;
2. Kamanda Msigwa na
3. Kamanda Mdee
Je tutafika kama wapinzani wa kweli?
we mchokozi sn aiseee!!!!!Hapa kazini pangu nalipwa vizuri tu mkuu. Kwani vipi huko hamlipwi na EL kama zamani?
Kuleni nyie kwani sisiemu si ndio mchwa wa nchi hii.
Hapa kazini pangu nalipwa vizuri tu mkuu. Kwani vipi huko hamlipwi na EL kama zamani?
hela iliishia uchaguzi, juzi kakopa kwenda kenya kujikomba kwa uhuru
kwani umesikia anatoa misaada makanisani?