Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Sasa siasa za Tanzania zimefika pabaya sana. Tumebaki wachache tunaojitambua kwa sasa.
Nauliza tu kuwa kwa vile Mkuu wa nchi hajaongea chochote hata CHADEMA nao hawahoji chochote. Hii ina maana sana kisiasa.
Upinzani unacheza mchezo wa kisiasa wa JPM bila kujijua.
Wengine watakataa ila ukweli upo juu ya matamko ya CHADEAM yaliyotolewa na makamanda wa Chama hivi karibu wakiongozwa na:
1. Kamanda Wema Sepetu;
2. Kamanda Tundu Lissu;
3. Kamanda Mbowe, mzee wa gia za angani.
Wengine wamekosa ya kusema kwa sasa, akiwepo
1. Kamanda Lema;
2. Kamanda Msigwa na
3. Kamanda Mdee
Je tutafika kama wapinzani wa kweli?
Nauliza tu kuwa kwa vile Mkuu wa nchi hajaongea chochote hata CHADEMA nao hawahoji chochote. Hii ina maana sana kisiasa.
Upinzani unacheza mchezo wa kisiasa wa JPM bila kujijua.
Wengine watakataa ila ukweli upo juu ya matamko ya CHADEAM yaliyotolewa na makamanda wa Chama hivi karibu wakiongozwa na:
1. Kamanda Wema Sepetu;
2. Kamanda Tundu Lissu;
3. Kamanda Mbowe, mzee wa gia za angani.
Wengine wamekosa ya kusema kwa sasa, akiwepo
1. Kamanda Lema;
2. Kamanda Msigwa na
3. Kamanda Mdee
Je tutafika kama wapinzani wa kweli?