Mtukudzi
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 104
- 413
Kanda ya Ziwa ya Ziwa gani hiyo, ile iliyomtandika kibao Masha na mwenzake Diallo au ile ya Lumumba? Sisi ndio tunaishi Kanda ya Ziwa halisi. Ni kwamba baada ya kutagaza bei ya pamba kuwa 750 imeongeza kasi ya watu wa Kanda hii kuipa kisogo Ccm. Ni hivi, kazi anayoifanya Mawazo kwa staili yake mpya ya "kimya kimya" anaenda kuifuta ccm Kanda ya Ziwa.Leo hii Kanda yote inapepea bendera ya cdm.