CHADEMA yazidi kuporomoka Kanda ya ziwa

CHADEMA yazidi kuporomoka Kanda ya ziwa

Halafu wamehoji kuwa kwanini Slaa hajaoa. wanahofia kuibiwa wake zao.
 
Yaani hiypo mikutano imeitishwa specifically kwa ajili ya Chadema halafu unadai Chadema yazidi kuporomoka Kanda ya Ziwa! Nilidhani wamepoteza viti ktk Serikali za Mitaa na Vitongoji.
 
Halafu wamehoji kuwa kwanini Slaa hajaoa. wanahofia kuibiwa wake zao.

It is rediculous, you cant be serious. Shida kubwa ya JF ni kila mtu anaweza kuposti kila kitu, hata takataka.
 
Wala apajui Lumumba uyo bado anatumika kienyenyi ndio maana ajui hata kanda anao tokea msaliti zitto mpotezee tu uyu sio wa buku7 niwa jeroo
 
Salewa nina pafahamu sana. Kwa sababu ya wenyeji kuamini sana uchawi huwa hawa hawashiriki sherehe za mavuno yaani bulabo. Je wewe hiyo bulabo umeiingiza vipi huko? Kama na mtoa mada atakuwakwao ni huko naye atakuwa ni dizaini ya huko... Salawe!
 
Teh teh teh teh ...Ungewaambia siku hizi anamiliki hawara, lakini ni mke wa mtu.
Wanamkutano wa bulabo nitaenda kuwaambia hilo. Hebu niambie kitu gani kingine naweza waambia maana wana hasira hao na CDM.
 
Kumekuwa na mkutano mkubwa karibia vijiji vyote vya mkoa wa shinyanga. Kumekuwa na adhimio la pamoja la kuikataa CHADEMA.

Mkutano huo mkubwa wa mkoa wa shinyanga na baadhi ya vijiji vya mkoa wa mwanza vinavyopakana na shinyanga.

Watu wameikataa CDM na kudai kuwa ni chama cha kiraghai.
Mkutano huo uliodumu kwa mda wa masaa matatu katita Kata ya salawe.
Wamekubaliana wataunga na kuwashauri wenzao mikoa ya Mwanza, Geita, Tabora, Simiyu, Kigoma, Bukoba na Sumbawanga Kukikataa Chama cha kiraghai.

Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe.
Sawale ndio kanda ya ziwa? Umetisha mkuu.

Chanzo? Wewe mwenyewe hihiii
 
Teh teh teh teh ...Ungewaambia siku hizi anamiliki hawara, lakini ni mke wa mtu.

usitumike vibaya kwani ungekuwa unatumika vizur ungekuwa umewahoji marais wa chama tawala kuhusu wake zao kwan wote sawa kuhusu issue ya mke au hawara
 
Msalani umewewuka sana nani kakuroga maana unaga post ya maana ubatetea ataujinga jibu kwaoja msaliti zitto anatokea kanda ya ziwa? Acha kutoa povu au umelaniwa na wazazi wako?
 
Halafu wamehoji kuwa kwanini Slaa hajaoa. wanahofia kuibiwa wake zao.
Safi sana JF, hata std7 anapost na kusomwa na mamia ya watu. Wakati mods wakilala..
 
Kanda ya Ziwa siku zote ni werevu, mara nyingi sio watu wa kufuata Mkumbo, kwa hilo hata mimi nawapongeza sana.
hakika mkuu ila tusubiri umma unasema nini tusijekuwa tunasumuka sana hapa jamvini kumbe umma uana jibu tofauti na ss hebu tuupe umma nafasi ili tujue ukweli uko wapi? umma utatusaidia kumaliza haya malubano hpa jamvini sote tutafuata kile watanzania wanachokitaka tukatae leo ila tujue knakuja na hatutaweza kukizuia
 
Kanda ya Ziwa bila kuoa unahesabiwa kama mtoto Mdogo kabla ya Giza kuzama unatakiwa uwe nyumbani.
 
Kuna mtu kanipigia simu. Amesema baada ya mimi kuondoka wamekubaliana kuhakikisha kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa hawataki mgombea toka chama kingine zaidi ya chama chao cha siku zote.

Akaongeza ametokea kijana mmoja kavaa mregezo kavuta bangi kasema yeye ni mfuasi wa CDM, anataka haki kama zote kwenye mwili wake. Wamempeleka kwenye kituo cha polisi Ikonongo.
 
We tokwa povu tu mwaka kesho miezi kama hii mtakuwa mnaanza kuwavalisha vijana wa JKT mavazi ya polisi ili wawasaidie kuiba kura na kuwasambaratisha wale wote watakao wapinga

Mimi wala sihitaji kujibishana na wewe. Subiri sukukuu ya bulabo uje utembelee ujionee mwenyewe mimi wala sina haja ya kubishana na wewe.

Watu hawaitaki CDM kanda ya ziwa. Wanasema hawataki wageni kuwatawala. Waliendelea kusema sungusungu iimarishwe ili watu waongo waongo na waraghai wawe wanapata adhabu.
 
We tokwa povu tu mwaka kesho miezi kama hii mtakuwa mnaanza kuwavalisha vijana wa JKT mavazi ya polisi ili wawasaidie kuiba kura na kuwasambaratisha wale wote watakao wapinga
Mimi natoa taarifa kwa kitu nilichoona.
 
Kumekuwa na mkutano mkubwa karibia vijiji vyote vya mkoa wa shinyanga. Kumekuwa na adhimio la pamoja la kuikataa CHADEMA.

Mkutano huo mkubwa wa mkoa wa shinyanga na baadhi ya vijiji vya mkoa wa mwanza vinavyopakana na shinyanga.

Watu wameikataa CDM na kudai kuwa ni chama cha kiraghai.
Mkutano huo uliodumu kwa mda wa masaa matatu katita Kata ya salawe.
Wamekubaliana wataunga na kuwashauri wenzao mikoa ya Mwanza, Geita, Tabora, Simiyu, Kigoma, Bukoba na Sumbawanga Kukikataa Chama cha kiraghai.

Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe.

Mwananchi wa salawe aje amshauri mwananchi wa kirumba?! Una akili kwel wewe!
 
Back
Top Bottom