CHADEMA yazidi kuporomoka Kanda ya ziwa

CHADEMA yazidi kuporomoka Kanda ya ziwa

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,961
Kumekuwa na mkutano mkubwa karibia vijiji vyote vya mkoa wa shinyanga. Kumekuwa na adhimio la pamoja la kuikataa CHADEMA.

Mkutano huo mkubwa wa mkoa wa shinyanga na baadhi ya vijiji vya mkoa wa mwanza vinavyopakana na shinyanga.

Watu wameikataa CDM na kudai kuwa ni chama cha kiraghai.
Mkutano huo uliodumu kwa mda wa masaa matatu katita Kata ya salawe.
Wamekubaliana wataunga na kuwashauri wenzao mikoa ya Mwanza, Geita, Tabora, Simiyu, Kigoma, Bukoba na Sumbawanga Kukikataa Chama cha kiraghai.

Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe.
 
Div. 5 hii,,, endleza uongo wako uvccm utawapata weng kwel,,,
 
Kanda ya Ziwa siku zote ni werevu, mara nyingi sio watu wa kufuata Mkumbo, kwa hilo hata mimi nawapongeza sana.

Ni welevu sana ndiomaana Mwanza waliwapiga chini magamba na bukoba pia magamba hayatakiwi.
 
Kumekuwa na mkutano mkubwa karibia vijiji vyote vya mkoa wa shinyanga. Kumekuwa na adhimio la pamoja la kuikataa CHADEMA.

Mkutano huo mkubwa wa mkoa wa shinyanga na baadhi ya vijiji vya mkoa wa mwanza vinavyopakana na shinyanga.

Watu wameikataa CDM na kudai kuwa ni chama cha kiraghai.
Mkutano huo uliodumu kwa mda wa masaa matatu katita Kata ya salawe.
Wamekubaliana wataunga na kuwashauri wenzao mikoa ya Mwanza, Geita, Tabora, Simiyu, Kigoma, Bukoba na Sumbawanga Kukikataa Chama cha kiraghai.

Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe.

Wewe siyo bure,kuna namna kwa akili yako.
 
Baada ya kuvuna dengu na mazao mengine wakijiandaa na sherehe za bulabo. Walikusanyika kwa pamoja na kuandaa kauli mbiu ya kukomesha unafiki wa wanasiasa.

Mmoja wa waliohudhuria akijitambulisha kwa jina la Luhega alitoa tamko zito akisema "Hivi kwanini kanda ya ziwa hakuna viongozi wa ngazi ya juu ndani ya chadema? Tulimpata kijana shupavu Zitto katika ukata wetu lakini wamemtendea hila. Aliendelea kusema lazima kuna ajenda ya siri katika chama hiki. Tusipuuzie lazima tuungane pamoja tukipinge"
 
Kwa hiyo wenzetu wanataka chama gani? Kama ni ccm mungu awafungulie huo upoofu!
 
We kilaza Zito hatoki kanda ya ziwa!!!!!! Anatoka kanda ya magharibi. Unatakiwa ukahudurie elimu ya MEMKWA maana ile ya Gumbaru haipo tena.
Hafu jifarijini tu waulize wabunge wa CCM wanaujua ukweli kuwa 2015 kanda ya ziwa ndiyo battle ground na kwa taarifa yako Mkoa kama wa Mara na Geita, Mwanza na Shinyanga mtazoa aibu


Baada ya kuvuna dengu na mazao mengine wakijiandaa na sherehe za bulabo. Walikusanyika kwa pamoja na kuandaa kauli mbiu ya kukomesha unafiki wa wanasiasa.

Mmoja wa waliohudhuria akijitambulisha kwa jina la Luhega alitoa tamko zito akisema "Hivi kwanini kanda ya ziwa hakuna viongozi wa ngazi ya juu ndani ya chadema? Tulimpata kijana shupavu Zitto katika ukata wetu lakini wamemtendea hila. Aliendelea kusema lazima kuna ajenda ya siri katika chama hiki. Tusipuuzie lazima tuungane pamoja tukipinge"
 
Watu wengi wakiwa wamevalia nguo zenye rangi ya kijani na njano.
Walikuwa wamebeba matawi ya miti na walitembea kuanzia Solwa mpaka salawe.

 
Watu wengi wakiwa wamevalia nguo zenye rangi ya kijani na njano.
Walikuwa wamebeba matawi ya miti na walitembea kuanzia Solwa mpaka salawe.

Ni washabiki wa yanga au brazili?
 
We kilaza Zito hatoki kanda ya ziwa!!!!!! Anatoka kanda ya magharibi. Unatakiwa ukahudurie elimu ya MEMKWA maana ile ya Gumbaru haipo tena.
Hafu jifarijini tu waulize wabunge wa CCM wanaujua ukweli kuwa 2015 kanda ya ziwa ndiyo battle ground na kwa taarifa yako Mkoa kama wa Mara na Geita, Mwanza na Shinyanga mtazoa aibu

Mimi wala sihitaji kujibishana na wewe. Subiri sukukuu ya bulabo uje utembelee ujionee mwenyewe mimi wala sina haja ya kubishana na wewe.

Watu hawaitaki CDM kanda ya ziwa. Wanasema hawataki wageni kuwatawala. Waliendelea kusema sungusungu iimarishwe ili watu waongo waongo na waraghai wawe wanapata adhabu.
 
Watu walikuwa wamevaa kofia rangi ya njano zikiwa na nembo ya jembe na nyundo.
 
Kumekuwa na mkutano mkubwa karibia vijiji vyote vya mkoa wa shinyanga. Kumekuwa na adhimio la pamoja la kuikataa CHADEMA.

Mkutano huo mkubwa wa mkoa wa shinyanga na baadhi ya vijiji vya mkoa wa mwanza vinavyopakana na shinyanga.

Watu wameikataa CDM na kudai kuwa ni chama cha kiraghai.
Mkutano huo uliodumu kwa mda wa masaa matatu katita Kata ya salawe.
Wamekubaliana wataunga na kuwashauri wenzao mikoa ya Mwanza, Geita, Tabora, Simiyu, Kigoma, Bukoba na Sumbawanga Kukikataa Chama cha kiraghai.

Chanzo cha habari ni mimi mwenyewe.

Hapo kwenye bold naona itakuwa vigumu mno!!!!

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...anchi-wenye-hasira-kali-kwa-kupigwa-mawe.html
 
Mkakati wa fichua na fukuza magwanda kuazishwa rasimi. Hawataki ujinga tena kupigwa danadana za wanasiasa waongo toka kwenye familia ya mtu mmoja. Hawataki tena. wanataka chama chao cha siku zote.
 
Baada ya kuvuna dengu na mazao mengine wakijiandaa na sherehe za bulabo. Walikusanyika kwa pamoja na kuandaa kauli mbiu ya kukomesha unafiki wa wanasiasa.

Mmoja wa waliohudhuria akijitambulisha kwa jina la Luhega alitoa tamko zito akisema "Hivi kwanini kanda ya ziwa hakuna viongozi wa ngazi ya juu ndani ya chadema? Tulimpata kijana shupavu Zitto katika ukata wetu lakini wamemtendea hila. Aliendelea kusema lazima kuna ajenda ya siri katika chama hiki. Tusipuuzie lazima tuungane pamoja tukipinge"

Kama sababu ni kuwa hakuna kiongozi wa juu wa CDM kutoka kanda hiyo ebu nitajie kiongozi wa juu wa CCM anaetoka kanda hiyo usiponitajia nitatambua ubongo wako ulivyo.
 
Chadema imejichanganya mara UKAWA! Zile ziara zao mikoani zimepotea baada ya chopa 3 kata 3
 
Mimi wala sihitaji kujibishana na wewe. Subiri sukukuu ya bulabo uje utembelee ujionee mwenyewe mimi wala sina haja ya kubishana na wewe.

Watu hawaitaki CDM kanda ya ziwa. Wanasema hawataki wageni kuwatawala. Waliendelea kusema sungusungu iimarishwe ili watu waongo waongo na waraghai wawe wanapata adhabu.

Kama wangekuwa wana nia ya dhati wa kwanza kutiwa adabu alitakiwa awe yule aliyewahaidi meri kubwa kuliko MV Victoria lakini hadi leo hajawaletea. pia na kujenga leli ya kisasa kutoka DAR hadi Mwanza to Kigoma nayo kimya
 
Back
Top Bottom