CHADEMA Yazidi Kujikoroga mwaka 2013

CHADEMA Yazidi Kujikoroga mwaka 2013

Gesi ya Mtwara ni agenda chafu na itaisambaratisha Chadema. Migogoro ya ndani ikiungana na ya nje kuhusu gesi Chadema haitabakia kipande juu ya kipande.
 
Tanzania ni moja bila kujali kanda anayotoka mtu wala kabila lake, wote tuamini hivyo na kuenende kauli mbiu hiyo

aiseeeee babayangu kiwango cha upumbavu wako kinazidi kukuwa kwa kasi ya ajabu sana; wacha mitambo ya gesi ijengwe huko huko mtwara watu toka mikowa mingine nao waende huko kutafuta ajira mitambo yote ikiwa dar itakuwaje?? Basi kila ki2 kiambie dar hadi bunge liamie dar mkuu dhaifu baraza lake dhaifu na baadhi ya wananchi dhaifu kama wewe
 
CHADEMA imeanza mwaka 2013 pasipo mashiko wala dira ya waendako. Hali hii ni faida kwa watanzania kwa vile imetupa fursa ya kupata kutambua uwezo wa viongozi wa CHADEMA kuhusiana na maendeleo ya nchi yetu.
Leo ni siku ya tano, Januari 2013 viongozi wao wamekuja na kauli zinazothibitisha ufinyu na uwezo mdogo waliokuwa nao;-
1. Kamati ya Utendaji CHADEMA iliirukia HUTOBA ya Rais JK kuwa amefanya kosa kutoa ratiba ya mchakato wa kuelekea KATIBA MPYA; leo wameumbuliwa na Jaji Warioba.
2. Mbowe katoa kauli ya kumuunga mkono Dr.Slaa kuwa mgombea wa Urais kupitia chama chao 2015; kauli ambayo imethibitisha ukosefu wa demokrasia ndani ya chama chao pamoja na kuwepo kwa mwenyekiti asiyejua mipaka ya kutoa kauli.
3. Leo Kikao cha BAVICHA kimekuja na fungua mwaka ya KUUNGA MKONO Madai ya Watu wa Mtwara yanayoonyesha kuvunja UTAIFA;

Hiki chama hakina muono wa mbali badala yake wamekuwa hodari wa kurukia hoja kila kukicha!

Mkuu, heri ya mwaka mpya!
Lakini kwa hicho ulichokiandika kwa hakika digitali imekuacha mbali mno.
Huna mpangilio wa maneno na hoja zenye mashiko zaidi ya ushabiki wenye shinikizo nyuma yake ili uonekane umetimiza wajibu wako.
 
Poleni sana wana CDM kwa kuendeleza tabia yenu ya kutokwa na jazba badala ya kujadili hoja iliyo mbele yenu, mkubali msikubali, jahazi lenu linafikia mwisho, watanzania wakio wengi wameshajua mtindo wenu mbaya wa kudakia mada pasipo kuja na hoja ya mshiko
 
Una upungufu wa akili kichwani

Wewe ni kimbelembele wa Chadema usiye na mtazamo chama kuhusu nchi yetu, umeweka maslahi ya Chadema mbele pasipo kuangalia chama kina mwelekeo upi zaidi ya kurukia kila hoja inayotolewa na CCM
 
Ukweli mtupu ingawa utapokelewa na matusi kutoka kwa watu walikunywa maji ya bendera ya CHAFISAMBO kupitia Chagga Development Manipulation
Jiandae kujinyonga. Kinyume na unavyofikiri hata mimi mwenyeji wa kando ya ziwa viktoria. Ninayekula furu, sato, ningu, dagaa na kamongo naunga mkono fikra za CDM. Kama ni za Mbowe na wachaga ujajiua siku utakapojua watanzania wengi wanaozidi kwa idadi watu wenye fikra za kikabila kama wewe wamekuwa wachaga kama ambavyo ungependa kutafsiri watu wenye fikra pevu nchi hii.
Hivi watu wa CCM mnaoongea huu upumbavu wenu kila siku humu ndani hamuoni mnadhalilisha chama chenu na kukifanya hovyo kuliko kilivyokuwa hovyo?
 
jamani is CHADEMA untouchable? tuacheni ushabiki wa kijinga any criticism ya CHADEMA wafuasi wao wana lebel as "pumba"
Tatizo ni hoja mufilisi, sio ujinga wa ushabiki kama unavyofikiri, hebu pitia hizo hoja za kujikoroga halafu tetea ni kwa vipi hao mashabiki wanastahili kukubali kukosolewa.
- Jaji Warioba sio Mungu wa Tanzania kiasi cha kwamba yeye akisema kitu ndio mwisho, kamati ya utendaji haikukosea kuijadili na kuikosoa hoja ya Rais.

- Kuunga mkono mgombea/mtarajiwa sio uvunjaji wa demokrasia, japo hakuna ukweli juu ya hilo. Pia kuweka wazi uungaji mkono sio kutojua mipaka ya demokrasia japo pia hakuna ukweli juu ya hilo.

-Kuunga mkono madai ya watu wa Mtwara si kuvunja utaifa.. hapo inaonyesha pia kukurupuka maana madai ya watu wa Mtwara yanapotoshwa aidha kwa makusudi au kwa uvivu wa kutafuta ukweli, hivyo pia kuifanya hoja hii kuwa mufilisi. Mleta hoja angeielewa usingekurupuka kama hivi.
 
Mkuu mafilili ni vyema ukashirikisha uwezo wako wa kufikiria wakati unaandika hizi post zako hata kama unatumiwa. Sasa angalia unavyojivua nguo kwa kuonyesha uwezo wako mdogo wa kufikiria kwani hayo maswali yako yote yameshajibiwa na watanzania wote wana taarifa sahihi. Kwa mtizamo wako ni dhahiri umetoka kuamka, ni vyema ukapige mswaki kisha upitie pale Lumumba, nahisi watakupatia nauli ya kurudi kijijini kwenu ukalime kwani umeshindwa kazi uliyopewa na Magamba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom