CHADEMA yawagaragaza CCM Mahakamani

CHADEMA yawagaragaza CCM Mahakamani

CCM haipo kidemokrasia toka 2010. Imeendelea kuwepo kwa nguvu za dola....zaidi ktk ushirika wa kuifisadi nchi.
 
Angalia hii...Mlalamikaji wa CCM ni kutoka CHAGGALAND...Mlalamikiwa ni wa Chadema naye ni kutoka CHAGGALAND...hiyo serikali ya mtaa iko ArushaLand ambapo mbunge wake ni wa Chaggaland pia.Je hii ni ishara ya mbunge huyuhuyu wa Chaggaland kurudi tena bungeni...???

Pole sana Tunduma nako bora mjenge mahema kuliko hospitali!
 
Angalia hii...Mlalamikaji wa CCM ni kutoka CHAGGALAND...Mlalamikiwa ni wa Chadema naye ni kutoka CHAGGALAND...hiyo serikali ya mtaa iko ArushaLand ambapo mbunge wake ni wa Chaggaland pia.Je hii ni ishara ya mbunge huyuhuyu wa Chaggaland kurudi tena bungeni...???

Watu kama wewe wanaowaza ubaguzi na ukabila tu.....ingetungwa sheria wapigwe risasi hadhari!! Wanairdisha nchi nyuma!!
 
Watu kama wewe wanaowaza ubaguzi na ukabila tu.....ingetungwa sheria wapigwe risasi hadhari!! Wanairdisha nchi nyuma!!

Maneno yako ni kweli kabisa...lakini watauliwa wengi saana kama vile Wahindi wote nchini,waarabu,viongozi wenye pesa wote waliobobea kwenye Imani zao,wafugaji,wakulima nk nk nk
 
Angalia hii...Mlalamikaji wa CCM ni kutoka CHAGGALAND...Mlalamikiwa ni wa Chadema naye ni kutoka CHAGGALAND...hiyo serikali ya mtaa iko ArushaLand ambapo mbunge wake ni wa Chaggaland pia.Je hii ni ishara ya mbunge huyuhuyu wa Chaggaland kurudi tena bungeni...???

How old are you??
 
Chadema hata kitongoji kwenu Ni agenda? Kazi kweli kweli

Mpu-mbavu wewe unayeacha ndama aliyetumbukia mtaroni aangamie kisa una ng'ombe wengine 99. Shangwe ni kwa ndama mmoja mdogo aliyeokolewa kuliko wale 99 wanaolisha uwandani. Una macho huoni, una masikio husikii!
 
Mpu-mbavu wewe unayeacha ndama aliyetumbukia mtaroni aangamie kisa una ng'ombe wengine 99. Shangwe ni kwa ndama mmoja mdogo aliyeokolewa kuliko wale 99 wanaolisha uwandani. Una macho huoni, una masikio husikii!

Ccm wameaibika sana
 
Back
Top Bottom