CHADEMA yawagaragaza CCM Mahakamani

CHADEMA yawagaragaza CCM Mahakamani

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,917
Chama cha Demokarasia na Maendeleo CHADEMA leo imeshinda kwenye kesi iliyofunguliwa na Aliyekuwa mgombea wa CCM Joseph Lymo.

Kesi hiyo iliyofanyika kwenye Mahakama ya wilaya ya Arumeru iliyopo Sekei. Walimshtaki GODFREY J MUSHI aliyeshinda serekali ya mtaa kupitia tiketi ya CHADEMA. Kesi hiyo imetupiliwa mbali kutokana na kutokidhi matakwa ya kisheria ya mahakama.

Chanzo: Mwanahabari Huru
 

Attachments

  • 2015-03-17 10.52.29.jpg
    2015-03-17 10.52.29.jpg
    192.4 KB · Views: 1,485
  • 2015-03-17 11.14.01.jpg
    2015-03-17 11.14.01.jpg
    150.9 KB · Views: 1,262
Mwaka huu hata huo ushirikina hautowasaidia kwa sababu wanajua ni nguvu
za giza zinazoshindana na Nuru
 
Angalia hii...Mlalamikaji wa CCM ni kutoka CHAGGALAND...Mlalamikiwa ni wa Chadema naye ni kutoka CHAGGALAND...hiyo serikali ya mtaa iko ArushaLand ambapo mbunge wake ni wa Chaggaland pia.Je hii ni ishara ya mbunge huyuhuyu wa Chaggaland kurudi tena bungeni...???
 
Asante Mungu kwa hzi nguvu unazozd kutujaza kila siku. tutaheshimiana tu make ccm bado wanajifariji na kututusi, ila tutaheshimiana tu! asante mleta mada umefanya cku yang izdi kupendeza
 
Chama cha Demokarasia na Maendeleo CHADEMA leo imeshinda kwenye kesi iliyofunguliwa na Aliyekuwa mgombea wa ccm kupitia ccm Joseph Lymo.

kesi hiyo iliyofanyika kwenye Mahakama ya wilaya ya Arumeru iliyopo sekei. Walimshtaki GODFREY J MUSHI aliyeshinda serekali ya mtaa kupitia tiketi ya Chadema. Kesi hiyo imetupiliwa mbali kutokana na kutokidhi matakwa ya kisheria ya mahakama.

Chanzo: Mwanahabari Huru

Hizi mahakama nazo zimekuwa na upendeleo, sisi CCM wanatuonea tu..teh teh teh...
 
Mahakama enzi ya Mwalimu ni chombo ambacho haiingiliwi lakini nyakati hii imekuwa mradi wa mafisadi a.k.a ccm ila huku tunakoelekea tutajajuaga tu ukweli uko wapi!

Hongera sana Mwanahabari Huru kwa habari hii nzuri yenye mwanga mzuri!
 
Last edited by a moderator:
Angalia hii...Mlalamikaji wa CCM ni kutoka CHAGGALAND...Mlalamikiwa ni wa Chadema naye ni kutoka CHAGGALAND...hiyo serikali ya mtaa iko ArushaLand ambapo mbunge wake ni wa Chaggaland pia.Je hii ni ishara ya mbunge huyuhuyu wa Chaggaland kurudi tena bungeni...???

Chadema ndio upitisha wagombea wa ccm kwenye kura zao za maoni? Kweli nimeami ile kauli ya Mh lema ccm imekufa arusha
 
Asante Mungu kwa hzi nguvu unazozd kutujaza kila siku. tutaheshimiana tu make ccm bado wanajifariji na kututusi, ila tutaheshimiana tu! asante mleta mada umefanya cku yang izdhii kupendeza
Hizi ni Salaam za Kinana na team yake wanayokuja Arusha

Mwanahabari Huru
 
Sasa nyie chadema yaani kazi yenu ni kushinda tu kila mahali???hamna kazi nyingine ya kufanya??yaani kila penye ushindani mnashinda nyie tu!iwe kwenye kura,kwenye hoja bungeni hadi mhakamani? Mmezidi sasa na nyie,wala siwapendi tena!!!
 
Nabado ajajua namsubiri kwa hamu atakapo umbuka aje kwenye tanuru la waelewa
 
Chadema hata kitongoji kwenu Ni agenda? Kazi kweli kweli
 
Mungu aendelee kupigania Chadema...Hongereni sana
 
Sasa nyie chadema yaani kazi yenu ni kushinda tu kila mahali???hamna kazi nyingine ya kufanya??yaani kila penye ushindani mnashinda nyie tu!iwe kwenye kura,kwenye hoja bungeni hadi mhakamani? Mmezidi sasa na nyie,wala siwapendi tteena!!!

The the the Nabado
 
Angalia hii...Mlalamikaji wa CCM ni kutoka CHAGGALAND...Mlalamikiwa ni wa Chadema naye ni kutoka CHAGGALAND...hiyo serikali ya mtaa iko ArushaLand ambapo mbunge wake ni wa Chaggaland pia.Je hii ni ishara ya mbunge huyuhuyu wa Chaggaland kurudi tena bungeni...???

umeandika kimasikini sana !
 
Chama cha Demokarasia na Maendeleo CHADEMA leo imeshinda kwenye kesi iliyofunguliwa na Aliyekuwa mgombea wa CCM Joseph Lymo.

Kesi hiyo iliyofanyika kwenye Mahakama ya wilaya ya Arumeru iliyopo Sekei. Walimshtaki GODFREY J MUSHI aliyeshinda serekali ya mtaa kupitia tiketi ya CHADEMA. Kesi hiyo imetupiliwa mbali kutokana na kutokidhi matakwa ya kisheria ya mahakama.

Chanzo: Mwanahabari Huru
===>Baada ya kushinda kesi nini mmepata?
 
Back
Top Bottom