Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
Chama cha Demokarasia na Maendeleo CHADEMA leo imeshinda kwenye kesi iliyofunguliwa na Aliyekuwa mgombea wa CCM Joseph Lymo.
Kesi hiyo iliyofanyika kwenye Mahakama ya wilaya ya Arumeru iliyopo Sekei. Walimshtaki GODFREY J MUSHI aliyeshinda serekali ya mtaa kupitia tiketi ya CHADEMA. Kesi hiyo imetupiliwa mbali kutokana na kutokidhi matakwa ya kisheria ya mahakama.
Chanzo: Mwanahabari Huru
Kesi hiyo iliyofanyika kwenye Mahakama ya wilaya ya Arumeru iliyopo Sekei. Walimshtaki GODFREY J MUSHI aliyeshinda serekali ya mtaa kupitia tiketi ya CHADEMA. Kesi hiyo imetupiliwa mbali kutokana na kutokidhi matakwa ya kisheria ya mahakama.
Chanzo: Mwanahabari Huru