We siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa Chadema. Sema Chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"MADARAKA HUMBADILISHA MTU, YAPATE KWANZA NDIPO TUIJUE TABIA YAKO".
Mungu awape afya, je na kwa mama W. J. Malecela watafika?
we siku nyingine usihusishe watanzania wote na hao wahuni wa chadema. Sema chadema ni tumaini lako na mke wako na watotot wenu tu.
.
"madaraka humbadilisha mtu, yapate kwanza ndipo tuijue tabia yako".
Ama kweli we ni Tomaso.weka picha ili tuone kusanyiko.
Mtaishia huko huko Arusha, bythen, tayari mmeshajitangazia nchi yenu ya kaskazin!from karatu to dar!tic tic tic tic........ october 2015
Baadaya kuzuiliwa na polisi hatimaye CDM kupitia makamanda wake LEMA NA OLLE MILLYA kuhutubia umati wa watu Same katika jimbo la Same Magharibi. Shughuli katika mji wa same zilisita na wimbo wa kila mtu ni PEOPLES POWER TU.Zaidi ya wanachama 300 wamehamia na kupewa kadi.Hizi ni salamu tosha kwa David Mathayo ambaye ama kwa hakika ameshaona mwisho wake 2015.