Masanva Aya
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 453
- 1,323
Pengine usome tena mada.Mkidakia ya Raisi wenu.. nawapendea jinsi mnajifunzia kuandika magazeti.. ila ikija juu ya haki, ufisadi, ubepari wa vyeo na demokrasia ndani ya chama chenu, hata sentensi ya maneno matatu hakuna kutokeza
Wametoa tamko kwa masilahi ya Taifa.
Siku utakuja tu kugundua kuwa, chama kitakufa na Taifa litaendelea, endelea kuchunguza mambo ya vyama na sinzia kabisa kwenye masuala ya Taifa.