ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Acha u sisiemu! wameingia bungeni ili kutetea wananchi, na wananchi wengi ambao ni vijana kama sisi tunaitaji katiba mpya coz sheria nyingi za nchi zilizopo sasa IVI ni za kizamani, i mean hazitushilikishi sisi vijana wa kisasa zinaitaji marekebisho.kama hakitaeleweka sasa ivi ujue hata 2015 itakuwa ivyo ivyo, ''DIFFERENT DAYZ SAME MO' SHIT''
Wananchi walio wengi wangekuwa wanakubaliana na matakwa ya Chadema, wangedhihirisha hilo kwakuwapa viti vingi vya Ubunge.
Sheria zipi ambazo hazikupi nafasi wewe kijana wa kisasa?
Marekebisho ya katiba ni kweli yanahitajika, ila hayawezi kuja kwa hoja za nguvu; yanahitaji busara na nguvu za hoja. Halafu natoa tena angalizo kuwa, hata katiba iliyopo sasa hakuna mahali imeandikwa kuwa mgombea mwenye kura chache anaweza kutangazwa mshindi wa uchaguzi.Hivyo basi, kama kuna mgombea amepata upendeleo huo, hiyo ni kinyume cha katiba; yaani katiba na sheria hazijaheshimiwa. Hii ni kusema kwamba hata ukiiandika katiba nzuri vipi, iwapo viongozi watakuwa na hulka za kutokuheshimu sheria basi matatizo kwenye chaguzi yataendelea kuwepo.