CHADEMA yateketeza CCM Kwimba


Mkuu wangu Nyumbu umeongea kweli.Nakumbuka hata uchaguzi mkuu uliopita kauli mbiu ya wanaKyela ilikuwa urais Dr Slaa,ubunge Dr Mwakyembe.Kyela walikuwa wanamheshimu Dr Slaa tu na si Chadema.Leo Chadema imepenya kila kona ya Mbeya.Kazi aifanyayo Sugu si ya kubeza

Hata hivyo mkuu wangu naomba umuombe Radhi Mzee Arfi nakuhakikishia hana bei huyu na ni kati ya wazee wenye hekima kubwa ndani ya Chadema.
 
Last edited by a moderator:

Kamanda mawazo ni tishio kuu kwa CCM kanda ya ziwa.
 
Kuna watu wanalalamika kuwa watu wa kazikazini wanapewa shavu na Dr Slaa wakatolewa mfano Mawazo na Ole Millya sasa naomba wasome uzi huu waone kazi ya Mawazo na kama watakuwa na maswali wayaweke hapa tutawapa takwimu kazi anayoifanya mawazo, Millya,Bananga na wengine ambao wamejitoa kujenga chama siyo unafiki nafiki tu...Mawazo fanyakazi na jua hata Chrismas ulikuwa unachapa kazi... Hongera sana Mawazo
 
Kamanda kama ulijikwaa naomba usome bandiko la Molemo juu ya makamu mwenyekiti wetu....
 
Mawazo huwa anasema siyo lazima wote wahame CCM kwani hata enzi za nuhu kuna walio kadi na siku mlango ukifungwa watajuta...
Shauri yao wanaobaki watabaki kuona chengachenga.
 

Hili kundi la Masalia linalalamika kupitia keyboards wakati makamanda wanapambana kwenye uwanja wa vita.
 
Tena kuna wakati wana kuwa kwenye wakati mungu kweli hata pesa ya mafuta kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni shida wanaacha familia zao mwezi mzima wana jenga chama leo unataka ujifananishe na wewe sijui mwampampa na Mawazo
Hili kundi la Masalia linalalamika kupitia keyboards wakati makamanda wanapambana kwenye uwanja wa vita.
 
Tena kuna wakati wana kuwa kwenye wakati mungu kweli hata pesa ya mafuta kutoka sehemu moja kwenda nyingine ni shida wanaacha familia zao mwezi mzima wana jenga chama leo unataka ujifananishe na wewe sijui mwampampa na Mawazo

Masalia na matunguri yao Makamanda na Mungu wao.
 
Yeah! Hayo ndio matunda ya M4C lakin cha ajabu utashangaa kuona vijana wasongoma eti wanaiponda M4C tena bila hata aibu.

No way out to escape M4C!
Peoples power!
 

kamanda hao wanaolalama ni masalia tena waasi wakubwa wenye viapo vya kuzimu na hawana nia njema na chama.
 
Yeah! Hayo ndio matunda ya M4C lakin cha ajabu utashangaa kuona vijana wasongoma eti wanaiponda M4C tena bila hata aibu.

No way out to escape M4C!
Peoples power!

Mkuu Shardcole huenda ndiyo masharti ya Sangoma waliyopewa.Kutegemea sana uchawi unajitoa utu wako.
 
Last edited by a moderator:
Nimefarijika sana kusoma hapa kuwa Watanzania wenzangu 15,000 wamepata ukombozi wa kifikra, sasa waje tuungane tupambane ili kujitoa ktk minyororo ya udhalimu na ukandamizaji..! Sauti ya wengi, Sauti ya Mungu.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…