si kweli kwamba hautaki muungano tatizo ni muungano wa kulazimishana watu wengi wanapenda muungano lakini on mutual respect and benefits.. mimi naunga muunga uwe moja "one country" well managed na katiba inayotoa fursa sawaJasusi,
..Wazanzibari hawautaki huu Muungano. they simply do not want to be identified as Tanzanians. sasa ya nini kuwalazimisha?
..Watanganyika kule vijijini hawana habari nao kabisaaa.
..vurugu zitatokea kama tutaendelea kungangania huu Muungano mpaka Wazenj watakapoamua kufanya vurugu na maasi. sasa kabla hawajafika huko bora tuwarudishie mamlaka kamili ya nchi yao.
..kuna taratibu zinazopaswa kufanyika ktk kuvunja muungano huu. tunaweza kutafuta msaada na ushauri on how to proceed.
..tunapaswa kuzingatia hayo hapo juu ili kuondoa uwezekano wa kutoa vurugu na uhasama unaouzungumzia.
si kweli kwamba hautaki muungano tatizo ni muungano wa kulazimishana watu wengi wanapenda muungano lakini on mutual respect and benefits.. mimi naunga muunga uwe moja "one country" well managed na katiba inayotoa fursa sawa
Anayefikiria kuuvunja muungano ni mtu aliyekata tamaa tu na hajaelimishwa vizuri...after all those years lililo bora ni kwenda mbele zaidi
watu kama wewe na wengine ni kuwaacha na kuwapuuza sisi tunaanagalia mbele zaidi na vizazi vijavyo..
hakuna ambacho ni kero za muungano ambazo haziwezi kupata ufumbuzi hakuna kabisaa ila ni type ya viongozi tulio nao zenj na bara ambao hawafanyi maamuzi kwa manufaa ya watu
referendum OKUtaukubalije muungano ambao unauona ni wa kulazimishana? Ndiyo maana kuna umuhimu wa kuwa na referendum. Wenye nchi waulizwe kwa dhati kama wanautaka huu muungano. Kama wakiukubali, ndiyo tuanze kuangalia namna gani tunaweza kuishi pamoja kwa kuheshimiana.
Hizo mnazoita kero za muungano haziwezi kushughulikiwa katika hali ya sasa hivi ambapo hakuna mwenye uhakika kama muungano wenyewe unakubalika.
Mimi ndiyo maana nikasema tujifunze kwa Czechoslovakia na si Yugoslavia. Czechoslovakia walifanya referendum, upande mmoja ukakataa muungano, wakakaa wakagawana walicholuwa nacho na mpaka sasa hivi Czech Republic na Slovakia zinadunda. Yugoslavia walikataa kusikiza manung'uniko ya Slovenia, wakataka kulazimisha muungano. Matokeo yake ni umwagaji wa damu, uharibu wa nchi yenyewe na chuki inayoendelea hadi leo! Mwenye macho haambiwi tazama.
Amandla..........
ni propaganda tu za mitaani ambazo kila msema chochote anaruhusiwaSwali. Je swala la Tanganyika kurudishwa lipo kwenye sera rasmi za Chadema?
referendum OK
lakini chama kinaweza kuja na agenda ya kwamba tunataka serikali ya Tanganyika kinadanganya wananchi as if watanaganyika waote tunataka serikali hiyo? huo ndio ugonjwa wao chadema.
Hakuna cha umwagaji damu labda kama wewe unapenda kuona damu inamwagika...lol unapenda kubashiri shari
kero za muungano wakati mwingine ni siasa zaidi kuliko uhalisia ndio maana nilisema hapo juu kwamba kuna viongozi wa zenj na bara huo unakuwawaga mtaji wa kisiasa hakuna mwenye nia ya dhati kabisa kumaliza tatizo ..maana kwa mtazamo wangu ni jambo dogo sana.