CHADEMA yasitisha maandamano-Arusha


Lema Jambazi.
 
Huu 'UPORAJI'ni siasa majitaka..hakuna mtu aliyewahi kudai kuporwa ktk maandamano ya cdm.Mizigo endeleeni na manenu yenu sie twasonga

Ni kweli kamanda wote wale wenye kupoteza mali zao huwa wanatoa kwa hiyari kuchangia M4C, dada yangu alichangia laptop siku ile Lema alipoamua kutembea na makamanda kutoka mahakamani. Na wageni kadhaa huchangia saa, simu zao na akina dada pochi zao wakati wa maandamano yanayochochea amani na maendeleo jiji letu tulivu la Arusha.
 
huu 'uporaji'ni siasa majitaka..hakuna mtu aliyewahi kudai kuporwa ktk maandamano ya cdm.mizigo endeleeni na manenu yenu sie twasonga

ungekuwa unaishi arusha hungehitaji kusema haya, ina maana huna hata rafiki anayeishi arusha? Au wewe ni miongoni mwa waporaji?
 
Hayo maandamano yalikuwa yanahusu nini?
 
ccm wameshaishiwa sera vp ile ishu ya kapuya kubaka imeishia wapi ndo kazi ya ccm
 
Mzimu wa mwigamba unaitafuna chadema arusha....lazima wajute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…