Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,892
- 31,097
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.