CHADEMA yashindwa vibaya

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,892
31,097
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.

Ngongo; Shukrani,

On a positive note, ningesema CCM YASHINDA UCHAGUZI WA KITI CHA UDIWANI ARUSHA KWA KISHINDO...
 
Last edited:
Mbowe alikwenda Arusha kati siku mbili za mwisho wa kampeni. Wakati ambapo chama hicho kilikuwa hakijafanya kampeni zozote huko. Kwa taarifa nilizonazo ni kuwa CHADEMA nayo imeishinda CCM Kigoma Ujiji kata ya machinjioni pamoja na CCM kuweka nguvu kubwa sana huko. Nadhani kila chama kimetetea kiti chake. CCM Arusha, CHADEMA Kigoma Ujiji

PM
 
CUF inaonekana kama vile haipo kabisa huku Tz Bara. Kuna mtu anaweza kumshauri vizuri Lipumba?
 
Huyo Lipumba atashaurika vipi wakati CUF ni ya Pemba tu? Lipumba na Seif ni vichwa ngumu na hawana maslahi yoyote kwa watanzania

Huo ndio ukweli mtupu, anayebisha na atoe sababu
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.

Hee, viongozi wa CHADEMA si walikuwa kwenye operesheni Sangara mkoa wa Dar es salaam? Mi nilishangaa sana kusikia Mbowe amekwenda Arusha siku mbili za mwisho wa kampeni: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/23456-polisi-watawanya-msafara-wa-mbowe-arusha.html niliuliza nikaambiwa alikwenda kupokea viongozi wa CCM waliohamia CHADEMA kwenye wilaya ya Arusha mjini na pia nasikia na yule aliyekaribia kuishinda CCM kwenye uchaguzi wa Ubunge Arusha Mjini anaitwa somebody Lema naye alihamia CHADEMA siku hiyo kwenye mkutano wa Mbowe. Hivyo, kwa kuwa kulikuwa na kampeni, alitumia mkutano huo kumnadi pia mgombea udiwani. Kwanini CHADEMA hakikupeleka nguvu kata ya Arusha kati? Au ilikuwa ni kata ya CCM sana?

Asha
 
TZ kama hizi chaguzi zingekuwa huru na wazi wapinzani kwa sasa wangekuwa mbali. Uchaguzi wa Udiwani uko chini ya TAMISEMI (Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa). Wakati CCM walipoona halmashauri mbili uchaguzi mkuu uliopita zitaongozwa na upinzani (Kigoma nk), ikabidi walete muswada wa Waziri wa TAMISEMI awe na uwezo wa kuteua madiwani akiona kuna umuhimu kufanya hivyo. Wapinzani shirikianeni mutuongoze kupata tume huru na badiliko la sheria kandamizi.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.

- Mkulu Ngongo, ahsante sana kwa hii habari, sasa ni wakati muafaka tujitayarishe na chaguzi nyingine na kuangalia tulipokosea ni wapi!.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.

Duh, inauma sana. Mgombea wa CHADEMA alikuwa navuta watu wengi sana kwenye mikutano yake. Nakumbuka CCM walipopoita sokoni wakitangaza kuhusu mkutano wao walizomewa hadi matangazo yao hayakusikika kabisa. Alipokuja mgombea wa CHADEMA umati ulikuwa mkubwa sana.

Hata hivyo kuna jamno huenda imeshangia kushindwa huko; wafanyabiashara wengi wa sokoni si wakazi wa kata ya Mjini kati.

Lakini pia CCM ni mafisadi, nadhani ungetupa idadi ya waliopiga kura ikilinganishwa na waliojiandikisha ili tuweze ku-analyse vizuri zaid. Uzoefu ni kuwa CCM hununua shahada za wapiga kura hasa wanaodhaniwa kuwa wa upinzani iliidadi ya wapiga kura wa upinzani ipungue nao wachukue ushindi (rejea chaguzi za Tarime na Kiteto). Sina hakika Mbeya vijijini.
 
Lakini pia CCM ni mafisadi, nadhani ungetupa idadi ya waliopiga kura ikilinganishwa na waliojiandikisha ili tuweze ku-analyse vizuri zaid. Uzoefu ni kuwa CCM hununua shahada za wapiga kura hasa wanaodhaniwa kuwa wa upinzani iliidadi ya wapiga kura wa upinzani ipungue nao wachukue ushindi (rejea chaguzi za Tarime na Kiteto). Sina hakika Mbeya vijijini.

Umegusa penyewe. Utakumbuka mwaka jana kuna uchaguzi ulifanyika Arusha kata ya Sombetini, CHADEMA ikaiunga mkono TLP na Zitto Kabwe akaenda kusaidia kampeni hatimaye TLP ikaibuka ushindi. Katika uchaguzi ule baada ya kampeni kuelekea kushinda mafisadi wakaingilia kati ambapo kadi za wapiga kura zilinunuliwa kwa maelfu. Kata ya Sombetini ilikuwa na wapiga kura zaidi ya elfu 25 lakini wakapiga kura watu elfu 3 tu. Lakini hawakati huo wakawa wamechelewa, katika hizo hizo kura, TLP ikashinda kwa msaada mkubwa wa CHADEMA.

Ushindi wa TLP uliendeleza ugomvi CCM Arusha kati ya kundi la Lowassa na lile kundi lingine ambalo mpaka wale wabunge waliobambikiziwa kesi ya rushwa na Lowassa pamoja na Sendeka wanaliunga mkono.

Sasa ilipojitokeza kiti wazi safari hii, wakapata habari kwamba CHADEMA inakwenda kugombea na kushinda. Palikuwa pia na mgawanyiko ndani ya CCM. Ununuzi wa kadi ulianza mapema sana sasa. Naambiwa waliopiga kura wanakaribia elfu moja tu, wakati maelfu hawajapiga kura. Nitafuatilia kupata matokeo kamili. Nafuatilia pia matokeo ya Kigoma ambapo CHADEMA wamewashinda CCM.

Ila kilichonishangaza katika uchaguzi huu ni kuwa TLP ambayo ndio ilikuwa na nguvu Arusha kabla ya kuanza kuitukana CHADEMA ilikuwa na mgombea katika uchaguzi wa Arusha kati, mgombea wao amepata kura 1 tu. Yaani kura yake mwenyew. CUF nayo ilikuwa na mgombea katika uchaguzi huo ambaye amepata kura 2 tu. Vyama vyote vya upinzani vilivyokuwepo katika uchaguzi huo kwa maneno mengine vimepata asimilia 0 ya kura, isipokuwa CHADEMA ambayo imepata zaidi ya asilimilia 20. Mwenye matokeo ya uchaguzi 2005 atuwekee hapa manake wakati huo inaonyesha TLP na CUF walikuwa na nguvu zaidi Arusha mjini. Nini kimetokea?

PM
 
- Mkulu Ngongo, ahsante sana kwa hii habari, sasa ni wakati muafaka tujitayarishe na chaguzi nyingine na kuangalia tulipokosea ni wapi!.

Kaka inawezekana ushindi huu ni mtamu kwa CCM sasa lakini kama hizi taarifa kuwa LEMA amejiunga na CHADEMA ni wazi CHADEMA watashangilia ushindi mkubwa zaidi 2010.

Tukumbuke kuwa kiti hiki kilikuwa chini ya kijana machachari ambaye alitoka straight from Sokoine University na kuingia katika siasa kupitia TLP. TLP ambayo LEMA alikuwa mgombea wao kwa muda mrefu na akiwa na ufuasi mkubwa hapo. Hata hivyo huyu kijana MAWAZO ambaye alipata support kubwa ya Zitto wakati wa campaign aliamua kujitoa TLP na kuachia kiti kwa madai kuwa TLP hawako serious kitu ambacho kilikuwa na ukweli wake kiasi fulani. Hata hivyo nilisikia kuwa huyu kijana amejiunga na CCM.Hivyo ni wazi kuwa wapiga kura wa Arusha kati waliumizwa sana na uamuzi wake ambao waliona kuwa ni wa kisaliti lakini pia uliwavunja moyo wa kuwaamini WAPINZANI kwa ujumla.

Tanzanianjema
 
Kaka inawezekana ushindi huu ni mtamu kwa CCM sasa lakini kama hizi taarifa kuwa LEMA amejiunga na CHADEMA ni wazi CHADEMA watashangilia ushindi mkubwa zaidi 2010.

Tukumbuke kuwa kiti hiki kilikuwa chini ya kijana machachari ambaye alitoka straight from Sokoine University na kuingia katika siasa kupitia TLP. TLP ambayo LEMA alikuwa mgombea wao kwa muda mrefu na akiwa na ufuasi mkubwa hapo. Hata hivyo huyu kijana MAWAZO ambaye alipata support kubwa ya Zitto wakati wa campaign aliamua kujitoa TLP na kuachia kiti kwa madai kuwa TLP hawako serious kitu ambacho kilikuwa na ukweli wake kiasi fulani. Hata hivyo nilisikia kuwa huyu kijana amejiunga na CCM.Hivyo ni wazi kuwa wapiga kura wa Arusha kati waliumizwa sana na uamuzi wake ambao waliona kuwa ni wa kisaliti lakini pia uliwavunja moyo wa kuwaamini WAPINZANI kwa ujumla.

Mkuu Tanzanianjema heshima mbele.
Naomba kukusahihisha kidogo,Godbless Lema hajawahi kusoma Sokoine University wala hana degree yoyote.Godbless Lema alifukuzwa na TLP mwaka jana kwa kufanikisha deal ya Mawazo kuhamia CCM.Viongozi wa CHADEMA wilaya Arusha wanajua Godbess Lema ni mzee wa kuvuta kitu kidogo ila waliamua kumdanganya mwenyekiti wao.
 
Kaka inawezekana ushindi huu ni mtamu kwa CCM sasa lakini kama hizi taarifa kuwa LEMA amejiunga na CHADEMA ni wazi CHADEMA watashangilia ushindi mkubwa zaidi 2010.

Tukumbuke kuwa kiti hiki kilikuwa chini ya kijana machachari ambaye alitoka straight from Sokoine University na kuingia katika siasa kupitia TLP. TLP ambayo LEMA alikuwa mgombea wao kwa muda mrefu na akiwa na ufuasi mkubwa hapo. Hata hivyo huyu kijana MAWAZO ambaye alipata support kubwa ya Zitto wakati wa campaign aliamua kujitoa TLP na kuachia kiti kwa madai kuwa TLP hawako serious kitu ambacho kilikuwa na ukweli wake kiasi fulani. Hata hivyo nilisikia kuwa huyu kijana amejiunga na CCM.Hivyo ni wazi kuwa wapiga kura wa Arusha kati waliumizwa sana na uamuzi wake ambao waliona kuwa ni wa kisaliti lakini pia uliwavunja moyo wa kuwaamini WAPINZANI kwa ujumla.

Mkuu Tanzanianjema heshima mbele.
Naomba kukusahihisha kidogo,Godbless Lema hajawahi kusoma Sokoine University wala hana degree yoyote.Godbless Lema alifukuzwa na TLP mwaka jana kwa kufanikisha deal ya Mawazo kuhamia CCM.Viongozi wa CHADEMA wilaya Arusha wanajua Godbess Lema ni mzee wa kuvuta kitu kidogo ila waliamua kumdanganya mwenyekiti wao.


Mkuu Ngongo

Nadhani Tanzanianjema alikuwa anamaanisha huyo MAWAZO ndiye aliyesoma SUA, hebu jaribu kulipitia vizuri Bandiko la mkuu Tanzanianjema

Asante
 
Kaka inawezekana ushindi huu ni mtamu kwa CCM sasa lakini kama hizi taarifa kuwa LEMA amejiunga na CHADEMA ni wazi CHADEMA watashangilia ushindi mkubwa zaidi 2010.

Tukumbuke kuwa kiti hiki kilikuwa chini ya kijana machachari ambaye alitoka straight from Sokoine University na kuingia katika siasa kupitia TLP. TLP ambayo LEMA alikuwa mgombea wao kwa muda mrefu na akiwa na ufuasi mkubwa hapo. Hata hivyo huyu kijana MAWAZO ambaye alipata support kubwa ya Zitto wakati wa campaign aliamua kujitoa TLP na kuachia kiti kwa madai kuwa TLP hawako serious kitu ambacho kilikuwa na ukweli wake kiasi fulani. Hata hivyo nilisikia kuwa huyu kijana amejiunga na CCM.Hivyo ni wazi kuwa wapiga kura wa Arusha kati waliumizwa sana na uamuzi wake ambao waliona kuwa ni wa kisaliti lakini pia uliwavunja moyo wa kuwaamini WAPINZANI kwa ujumla.

Mkuu Tanzanianjema heshima mbele.
Naomba kukusahihisha kidogo,Godbless Lema hajawahi kusoma Sokoine University wala hana degree yoyote.Godbless Lema alifukuzwa na TLP mwaka jana kwa kufanikisha deal ya Mawazo kuhamia CCM.Viongozi wa CHADEMA wilaya Arusha wanajua Godbess Lema ni mzee wa kuvuta kitu kidogo ila waliamua kumdanganya mwenyekiti wao.


Nilikuwa naongelea kiti cha Arusha Kati nikiwa na maana na MAWAZO.

Kuhusu Lema hicho ndio kinanitatiza maana nilikuwa na taarifa za uhusika wake katika kumrubuni MAWAZO kujitoa TLP. Sikuwa na uhakika kama ni yeye aliyehusika kumpeleka CCM ingawa najua kuwa wakati huo hawa wawili walikuwa karibu sana

Tanzanianjema
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.


Ngongo

Mbona husemi chochote kuhusu haya? Hebu bonyeza hapa:
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/23485-ccm-yashindwa-vibaya.html

Asha
 
Huyo Lipumba atashaurika vipi wakati CUF ni ya Pemba tu? Lipumba na Seif ni vichwa ngumu na hawana maslahi yoyote kwa watanzania

Huo ndio ukweli mtupu, anayebisha na atoe sababu
Sasa huko Mtwara ni makorodani ? Wacheni chuki binafsi ,CUF ipo na ni chama imara ambacho kinajulikana kimataifa na msione kama hawapo maana wakiwepo ni shangwe na vigelegele ila kama hawapo mnakuja na maneno ya ajabu ajabu.
Hivi mnafikiri ni chama gani chenye madiwani wengi huko ubantuni.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimeshindwa vibaya katika uchaguzi wa udiwani kati ya kati mjini Arusha.
Katika uchaguzi huo CCm ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya 68% uku CHADEMA ikiambulia 22%.CHADEMA ilitumia nguvu kubwa katika uchaguzi huo,mwenyekiti wa CHADEMA F Mbowe alitumia siku tatu za mwisho kumpigia debe mgombea wake Bwana Simba kitu ambacho kiliwashangaza wakazi wa jiji la Arusha hasa ikizingatiwa uchaguzi ulikuwa ni kata tu.

1.Hizo ndio zinaunda jimbo la uchaguzi.

2.Arusha is politically stratergic.
 
Back
Top Bottom