CHADEMA yashindwa kutoa maamuzi magumu

CHADEMA yashindwa kutoa maamuzi magumu

MAFILILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,377
Reaction score
1,200
Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.

Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.
 
Kikao kikubwa cha CDM kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zito na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao. Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu; hawa ni wa kuwpotezea, waendelee na uandaaji wa madisko

Huu ni miongoni mwa ile mitambo ambayo kinana anailalamikia ya kupika majungu.....msibishane na mitambo.....
 
Kweli kabisa maamuzi magumu ya uwindaji wa tembo Kama yanavyofanywa na jangili kinana ndani ya chadema hayawezekani
 
Ukilinganisha chadema na ccm unaona bora ccm? Huwez kutushawishi kwa hoja nyepesi hivyo gamba ww,

tuendelee kuibiwa raslimal
kuibiwa fedha bank kuu
kulipwa mishahara duni
na uchafu mwingine mwingi, stop such nonsense gamba zoefu
 
Hii ni aibu kuona Tanzania bado in watu wenye point za kijinga kama hizi.
 
Kweli kabisa maamuzi magumu ya uwindaji wa tembo Kama yanavyofanywa na jangili kinana ndani ya chadema hayawezekani

Uwe mkweli chama chenu hakina uwezo wa kutoa maamuzi magumu, mwaogopa kupungua kwa ulaji wa Dr. Slaa kupitia ruzuku ya kila mwezi
 
Haikuwepo agenda hiyo. Kajipange upya....agenda zote zililetwa hapa jamvani wewe unakurupuka tu sijui kutoka wapi na umbea ...
 
Siku zote asiekosea ni mshabiki tu kwani hawezi kukosea na kushabikia Timu Pinzani, Hao wengine mabingwa wa Porojo ikija utekelezaji hakuna tofauti
 
Kwa mantiki hiyo,tuambie CCM imefanya maamuzi gani magumu na maamuzi yote mliyoamua kuyafanya ikiwemo ya siku 90 dhidi ya mafisadi?Toa boriti iliyoko jichoni kwako kabla ya kumnyooshea mwenzako kidole.
 
Kuna maamuzi magumu yaliyoshindikana Chadema kama yale ya CCM ya kuvuana magamba? Mpaka leo kuna gamba ambalo likivuliwa basi CCM byebye nalo ni EL.
 
nadhanni kuna namna hapa ila sema wadu wa hiki chama wamekunywa unga wa ndele basi ndio hivi tena.
 
Uwe mkweli chama chenu hakina uwezo wa kutoa maamuzi magumu, mwaogopa kupungua kwa ulaji wa Dr. Slaa kupitia ruzuku ya kila mwezi

Ila chama chenu kimeweza kumfukuza Lowassa? Mbona hata Jah Kaya anamuogopa pia mmechukua maamuzi magumu kwa kumrudisha Kinana a.k.a Dentist ili amalize Tembo wetu
 
Hata ungesemaje chadema pekee ndo limebaki tumaini linalowaamsha watanzania katika kujtetea haki zao hilo limedhihirishwa na wana mtwara kudai haki zao hadi serikali kunyoosha mikono juu. Uliza mafanikio yaliyopatikana mleba yalitokana na nini kama sio baada ya m4c ya dec, cdm songa mbele linaloonekana na maamuzi magumu kwa magamba ni njia yakutuvuruga hatudanganyik
 
kamuulize kibaraka wenu Shibuda atakwambia shughuli ya chadema pumbavu zenu na huyo kibaraka..
 
Uwe mkweli chama chenu hakina uwezo wa kutoa maamuzi magumu, mwaogopa kupungua kwa ulaji wa Dr. Slaa kupitia ruzuku ya kila mwezi

Mzee wa kulamba ruzuku 

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
 
Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.

Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.

habari za kigoma ee mchumia tumbo?hivi kale kamradi kenu ka kifisadi ka kujitangaza kupitia vyombo vya habari kameishia wapi?
 
kwanza waulize ccm mbona hawana kati kuu mpaka leo?kweli wanaaminiana?na waeleze gezi inaunda kundi lanne ndani ya ccm :israel:
 
Back
Top Bottom