CHADEMA yashindwa kutoa maamuzi magumu

CHADEMA yashindwa kutoa maamuzi magumu

Hata ukitukana bado aisaidii kitu kama mna ubavu mfukuzenu Shibuda basi au Zitto.
Na ndio utakuwa mwisho wao. jamaa wanawatesa vichwa , matokeo yake mbowe, lema na vijana wao wanaishia kuingia humu kwa majina ya kibitozi wakiwa wameshika viroba mkononi na kuanza kumtukana zitto na shibuda, wakikutana nao wanasema SALAMALEKO BABAANGU EEH!
 
halafu kesho mnatoa vitabu kuwa jf ni ya chadema wakati mnatema pu.mba humu na zinaachwa hewani...
jf asilimia 99 ni chadema , ukitaka kuwajua vizuri wewe andika lema kajamba uone
 
Aibu sana makamanda kwa chama chetu kushindwa kufanya maamuzi magumu!

Ila na nyie magamba hebu acheni upumbavu kwani na nyie mbona mpaka leo mmeshindwa kuvuana magamba alafu mtuleze chenge na lowasa hatima yao.
 
Kweli kabisa maamuzi magumu ya uwindaji wa tembo Kama yanavyofanywa na jangili kinana ndani ya chadema hayawezekani

Kuna methali isemayo " ALIYEPATA KICHAA HAPONI BALI KAPATA NAFUU TUU" naona ndugu uko katika hali hiyo, usisahau kutumia dawa, naona kinakurudia
 
Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.

Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.

Kwa thread kama hii huwa mnalipwa bei gani?
Huna agenda ya kikao unaropoka hivi shit!
 
Bila shaka hii ndo habari kuu kesho kwenye uhuru, mtanzania, rai, habari leo, na magazeti yote ya udaku.


Kuwa na akili ya maccm ni hasara kubwa.
 
Jambo moja kuu ni kwamba,viongozi wakuu wa cdm waliowengi ,ama ni wakopaji kwa hao wanaowaita mafisadi wa ccm,au ni wapo kwenye payroll ya mafisadi wa ccm,tofauti wanazidiana kete za nani yupo wapi na kwa nani,bei ya kila mmoja sokoni inajulikana-na ndo maana shibuda ana jeuri na kiburi maana anajua kila mmoja baada ya makelele ya kutwa kwenye tv na magazeti,huwa anaishia kwenda wapi na kwa nani,usiombe mtu akakufahamu rangi yako ,atakuchezea anavyotaka.hata wabunge wa chadema wanavyoombarushwa kwenye kamati inajulikana na wanajijua bei zao,ni suala la mda tu,wataumbuka,namheshimu tundu lisu kama mbunge wa na mwanasiasa wa ukweli,hao waliobaki wengine ni wajasiliamali wa kisiasa,full maigizo na sanaa,dr.slaa chapa kazi,japo umezungukwa na mbwa mwitu watupu,toka mkeo mpaka wajumbe wa kamati kuu.mda utafika utajua rangi zao halisi.wana machozi ya mamba,lakini sii ya ukweli.
 
Kikao kikubwa cha CHADEMA kimeshindwa kufikia maamuzi magumu dhido ya Zitto na Shibuda. Pamoja na mikakati mizito iliyoratibiwa na Heche kwa kivuli cha BAVICHA wameishia kugawanyika kwa wajumbe wa kikao.

Huu ni uthibitisho kuwa chama hiki hakina dira wala muundo unaoeleweka kufikia maamuzi ya busara. Watanzania tuwe makini na hiki chama kinachoazimia kwenda MAGOGONI wakati hawana utashi wa kutoa maamuzi magumu.

kwahiyo ulitaka aje kwenu? mbona hamjawafukuza wezi wa fedha zetu? ya CHADEMA hayakuhusu
 
Back
Top Bottom