CHADEMA yashinda kesi ya uchaguzi s/mitaa Mikocheni B

CHADEMA yashinda kesi ya uchaguzi s/mitaa Mikocheni B

mwakaila

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
1,053
Reaction score
157
Wakuu kama kawaida CHADEMA imekionyesha uwezo chama cha Mapinduzi baada ya mgombea wa CCM kupigwa chini mahakamani na kuvuliwa uenyekiti alioiba.

Wote tunakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ulioisha hivi majuzi.

Huku kwetu Mikocheni michezo michafu ya CCM iliendelea pale mgombea wa CHADEMA aliposhinda katika vituo viwili ambavyo vyote vilikuwa ni madarasa ya shule ya msingi Ushindi.

Kila mtu alibaki kinywa wazi baada ya matokeo ya jumla kumtangaza mgombea wa CCM Bwana Sixbet kuwa ndio mshindi wa kiti hicho cha uenyekiti.

Katika hali ya kuhamaki na kila mtu akiwa Haelewi kinachoendelea polisi walipiga mabomu na kutokomea na mabox ya kura.

Mahakama imemthibitisha mgombea wa CHADEMA kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.

Kwa makamanda tulio karibu na Mikocheni karibuni tusherehekee ushindi apa viwanja vya shule ya msingi ushindi mida ya saa tisa alasiri.
 
wakuu kama kawaida cdm imekionyesha uwezo chama cha magamba baada ya mgombea wa sisiemu kupigwa chini mahakamani na kuvuliwa uenyekiti alioiba.

Wote tunakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ulioisha hivi majuzi.

Huku kwetu mikocheni michezo michafu ya sisiemu iliendelea pale mgombea wa cdm aliposhinda katika vituo viwili ambavyo vyote vilikua ni madarasa ya shule ya msingi Ushindi....
Kila mtu alibaki kinywa wazi baada ya matokeo ya jumla kumtangaza mgombea wa sisiemu Bwana Sixbet kuwa ndio mshindi wa kiti hicho cha uenyekiti.
Katika hali ya kuhamaki na kila mtu akiwa Haelewi kinachoendelea polisi walipiga mabomu na kutokomea na mabox ya kura.
Mahakama imemthibitisha mgombea wa cdm kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.
Kwa makamanda tulio karibu na mikocheni....karibuni tusherehekee ushindi apa viwanja vya shule ya msingi ushindi...mida ya saa tisa alasiri...

samahani ni mahakama ipi hiyo iliyotoa hukumu leo?
 
wanaharaka sana ya kupeleka polisi ktk mikutano ya cdm lakinI kwa panya road wala hawafanyI mpaka wa2 wanaporwa mali na kuumizwa
 
mwakaila jana usiku uliangalia itv,huko morogoro walikuwa wanawaapisha wenyeviti shangaa sasa ccm wasivyo na aibu walimpeleka wa kwao aliyeshidwa vibaya na kutaka kumwapisha ndipo wanachi wakahamaki na ikawa ni zomea zomea
escrow,escrow.....
 
Last edited by a moderator:
Wezi wakiokubuhu hao nyinyiem...hata kijijin kwetu wamefanya hivyo hivyo...tunajiandaa kwenda mahakamani
 
wakuu kama kawaida cdm imekionyesha uwezo chama cha magamba baada ya mgombea wa sisiemu kupigwa chini mahakamani na kuvuliwa uenyekiti alioiba.

Wote tunakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ulioisha hivi majuzi.

Huku kwetu mikocheni michezo michafu ya sisiemu iliendelea pale mgombea wa cdm aliposhinda katika vituo viwili ambavyo vyote vilikua ni madarasa ya shule ya msingi Ushindi....
Kila mtu alibaki kinywa wazi baada ya matokeo ya jumla kumtangaza mgombea wa sisiemu Bwana Sixbet kuwa ndio mshindi wa kiti hicho cha uenyekiti.
Katika hali ya kuhamaki na kila mtu akiwa Haelewi kinachoendelea polisi walipiga mabomu na kutokomea na mabox ya kura.
Mahakama imemthibitisha mgombea wa cdm kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.
Kwa makamanda tulio karibu na mikocheni....karibuni tusherehekee ushindi apa viwanja vya shule ya msingi ushindi...mida ya saa tisa alasiri...

Hongereni makamanda, huu ujinga umefanyika sehemu nyingi sana na sijui kama hatua kama hii ya kwenda mahakamani. Lazima tuwe very strong inapofika mahali watu wanafanya mambo kana kwamba nchi hii ni yao peke yao. Tujiandaeni uchaguzi mkuu maana mabaya zaidi yatatokea. Ni lazima wananchi waachwe wamchague mtu wanayetaka awaongoze siyo kuwabambikizia mtu kutoka kwenye kakikundi kadogo kenye malango ya kupata njia ya kufanya mambo yao maovu! Kwa mara nyingine hongereni na sehemu zingine ambako upuuzi huu umefanyika na hasa ule wa kuweka mapingamizi ya kijinga ili kuwanyima wananchi kumchangua mtu wanayemtaka ni lazima hatua za kisheria zichukuliwe kwa ukawa kwenda mahakamani kuwatetea wananchi walioporwa haki ya kuchagua watu wanaowataka!
 
Safi ila hakimu uwe makini hawa ccm sio wa kuwaamini sana watakufanya kitu mbaya.
 
wakuu kama kawaida cdm imekionyesha uwezo chama cha magamba baada ya mgombea wa sisiemu kupigwa chini mahakamani na kuvuliwa uenyekiti alioiba.

Wote tunakumbuka uchaguzi wa serikali za mitaa ulioisha hivi majuzi.

Huku kwetu mikocheni michezo michafu ya sisiemu iliendelea pale mgombea wa cdm aliposhinda katika vituo viwili ambavyo vyote vilikua ni madarasa ya shule ya msingi Ushindi....
Kila mtu alibaki kinywa wazi baada ya matokeo ya jumla kumtangaza mgombea wa sisiemu Bwana Sixbet kuwa ndio mshindi wa kiti hicho cha uenyekiti.
Katika hali ya kuhamaki na kila mtu akiwa Haelewi kinachoendelea polisi walipiga mabomu na kutokomea na mabox ya kura.
Mahakama imemthibitisha mgombea wa cdm kuwa ndiye mshindi halali wa kiti hicho.
Kwa makamanda tulio karibu na mikocheni....karibuni tusherehekee ushindi apa viwanja vya shule ya msingi ushindi...mida ya saa tisa alasiri...
Kwa hiyo mwenyekiti halali ni nani Mkuu. Hawa magamba wasingejiwekea mapingamizi wasingeshinda hata kiti kimoja
 
Kwa hiyo mwenyekiti halali ni nani Mkuu. Hawa magamba wasingejiwekea mapingamizi wasingeshinda hata kiti kimoja

Mwenyekiti halali anaitwa BW.ISSAYA PRESS ISSAYA
 
Hongereni sana makamanda,maccm yana laana ya kumpiga mh warioba
 
Mahakami jpili, hii sio changa la machi kweli?
 
Back
Top Bottom