Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

Chadema yasambaratisha mkutano wa DC

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,342
Reaction score
2,528
CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu. Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.


Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo. Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.


Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.


Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema. Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.

Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

My take:

Hapo kwenye red soma kwa makini, nadhani huu ni mpangi makini wa kujiandaa kuchukua dola.

Source: Mwananchi
 
Wala Tusimshangae mkuu wa wilaya Hata ungekuwa ni mkutano wa kikwete ungevunjika tu. Jamani hiki kimbunga si cha kuzuia kwa mkono!
 
True, huo mkakati ni mzuri. Navutiwa sana na watu makini wanaoweza kuandaa na kutekeleza vitu kama hivi
 
  • Thanks
Reactions: Ame
heheheh kwa hili la serikali mbadala n izuri sana litasaidia kama wananchi watatoa ushirikiano
 
do tazania bhana....mwisho wa siku kale kauchaw ka ccm 2015 watakapulza na kuchukua nch krahc
 
Wala Tusimshangae mkuu wa wilaya Hata ungekuwa ni mkutano wa kikwete ungevunjika tu. Jamani hiki kimbunga si cha kuzuia kwa mkono!

Inanikumbusha mikutano miwli wakati wa kampeni ya uchaguzi jimbo la Nyamagana. Siku hiyo Lawrence Masha alikuwa na Jakaya Kikwete pale Sahara kukawa na watu kiduchu kwani wengi walikimbilia viwanja vya Nyakabungo alikokuwa Ezekiah Wenje.
 
Mbona Pinda alisema ni wenyeviti wateule wa Magamba wa wilaya?? Mbona mnasema Mkuu wa wilaya, wilaya au Mwenyekiti wa CCM Wilaya?
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu. Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.


Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo. Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.


Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.


Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema. Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.

Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

My take:

Hapo kwenye red soma kwa makini, nadhani huu ni mpangi makini wa kujiandaa kuchukua dola.

Source: Mwananchi

A very good strategy 4the CDM GVT.
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"][/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"] Send to a friend [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

Venance George, Morogoro
CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu.

Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.

Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo.

Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.

Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.

Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema.

Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.
Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
siku hizi kuna wagonjwa wengi sana wa akili humu jamvini
 
siku gizi kuna wagonjwa wengi sana wa akili humu jamvini

Ya ni kweli cuz hata wahalili na wamiliki wa magazeti kama mwananchi pia......source Mwananchi la tar 20.08.2012 Mwandishi ni Venance George,

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"]Chadema yasambaratisha mkutano wa DC [/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"] Send to a friend[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Monday, 20 August 2012 09:02 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

Venance George,Morogoro
CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu.

Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.

Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo.

Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.

Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.

Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema.

Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.
Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 

search0.png

Mon 20 Aug 1:25PM









rss.png

RSS








Home
arrow.png
Habari
arrow.png
Habari za Siasa
arrow.png
Chadema yasambaratisha mkutano wa DC


BOOKMARK THIS PAGE





bot_tabimg.gif

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading, width: 100%"] Chadema yasambaratisha mkutano wa DC [/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"] Send to a friend[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"] Monday, 20 August 2012 09:02 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]

Venance George, Morogoro
CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu.

Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.

Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo.

Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.

Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.

Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema.

Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.
Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.
Add this page to your favorite Social Bookmarking websites

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[h=4]Add comment[/h]Tumia jukwaa ili kutoa maoni ambayo yatasaidia kulijenga taifa letu. Kumbuka, maoni yako yatapitiwa kwanza kabla hayajarushwa hewani!!!!!!
Name (required)
E-mail

7000 symbols left
Notify me of follow-up comments

Send

Cancel








bot_tabimg01.gif
















































© 2007 - 2011 Mwananchi. All Rights Reserved. A product of Mwananchi Communications Ltd.​

laugh.gif
lol.gif
smile.gif
wink.gif
cool.gif
normal.gif
whistling.gif
redface.gif
sad.gif
cry.gif
surprised.gif
confused.gif
sick.gif
shocked.gif
sleeping.gif
tongue.gif
rolleyes.gif
unsure.gif

Created by Affordable Webdesign company
 
Nukuu toka kwenye posti ya mdau only83

Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

Nimependa kuona wananchi wa vijijini na miji midogo wameanza kuelewa somo la M4C na kuwa CHADEMA ndiyo mtetezi wa kweli wa wananchi wote wa Tanzania.
 
CHAMA cha Demokrasia na Maendendeleo (Chadema), kimevunja mkutano wa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Elius Tarimo baada ya mikutano hiyo kugongana, huku wa mkuu wa wilaya ukilazimika kuvunjika kutokana na kukosa watu. Tukio hilo lilitokea Kata ya Lumuma,Tarafa ya Kidete, wilayani humo wakati ratiba ya mkutano wa Chadema na mkutano wa mkuu wa wilaya wa kuhamasisha wananchi kushiriki sensa ilipogongana.


Viongozi wa Chadema waliwasili katika kata hiyo saa 9.00 mchana na kuamua kufanya mkutano wao stendi ya mabasi,umbali wa mita takribani 500 kutoka sehemu ulipoandaliwa mkutano wa mkuu wa wilaya hiyo. Kufuatia hali hiyo,baadhi ya watu ambao walikataa kujitambulisha majina yao wakiwamo waliovalia sare za CCM, walianza kuzozana na Mkuu wa Operesheni wa Chadema, Singo Benson huku wakikitaka Chadema kusitisha mkutano wake ili kupisha mkuu wa wilaya.


Saa moja baada ya Chadema kuanza mkutano wake,ujumbe wa mkuu wa wilaya uliwasili kwenye eneo la mkutano na Ofisa mtendaji wa kata hiyo,Deo Lisanga akiwa ameambatana na mwakilishi wa Kamanda wa Polisi Wilaya (OCD), walipovamia mkutano huo na kutaka usitishwe kwa madai haukuwa halali.


Benson alimweleza mwakilishi wa OCD, Antony Mkwawa kuwa mkutano wao ni halali na una baraka zote kutoka kwa kamanda wa polisi wa wilaya, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro na Mkuu wa Polisi nchini (IGP), Said Mwema. Baada ya kuelezwa hivyo waliondoka eneo hilo na kwenda kuahirisha mkutano wa mkuu wa wilaya.

Kwa upande wake,kada wa Chadema, Ally Bananga aliwaeleza wakazi wa kijiji hicho kuwa chama hicho kimeanzisha mpango wa kuwa na serikali mbadala katika kila kijiji na kata,ili wananchi wenye kero zao waziwasilishe kwa uongozi huo na Chadema makao makuu itafute ufumbuzi.

My take:

Hapo kwenye red soma kwa makini, nadhani huu ni mpangi makini wa kujiandaa kuchukua dola.

Source: Mwananchi

CDM na wananchi CCM na mafisadi/matajiri chukueni matatizo ya wananchi waacheni sisiem wakalie majungu na propoganda za kijinga.
 
Hapa inaonesha wazi ni jinsi gani serikali ya CCM isivyo makini imechoka. Hivi kweli uongozi wa wilaya umeshindwa kupanga ratiba illi mikutano yote ifanyike bila kugongana? Honestly it is time for CCM to go.
 
Inanikumbusha mikutano miwli wakati wa kampeni ya uchaguzi jimbo la Nyamagana. Siku hiyo Lawrence Masha alikuwa na Jakaya Kikwete pale Sahara kukawa na watu kiduchu kwani wengi walikimbilia viwanja vya Nyakabungo alikokuwa Ezekiah Wenje.

Mkuu, yaani uko mulemule, nakumbuka dhaifu alishushwa na helikopita uwanja wa nyamagana halafu wakampeleka pale sahara walipoandaa mkutano wao, watu walio kuwa pale nyakabungo hata hawakushituka, matokeo yake waliokuwa sahara ndo wakaanza kwenda nyakabungo baada ya dhaifu kuwasili. umesahau pia alikuwepo Diallo, Nape pamoja na wasanii wao kina bushoke, hafsa kazinja, wanaume tmk wote walidoda. halafu unakumbuka lile timbwili lililozuka baada ya wanachama waliokuwa wanatoka Nyakabungo kwa Wenje na wale wa Sahara kwa dhaifu kukutana pale pamba road?? F.F.U kama kawa walichafua hewa. duh!! kuna scenes zingine sio za kusahau katika maisha.
 
Nanukuu 'KWA UPANDE WAKE 'KADA' WA CHADEMA Aly Bananga,hatuna makada,chadema tuna Kamanda ama MAKAMANDA
 
Hii ya 2015 itakuwa ni zaidi ya russia revolution, chineese revlution na french revolution enzi hizooooo
 
Back
Top Bottom