CHADEMA yang'ara Uchaguzi marudio s/mitaa

CHADEMA yang'ara Uchaguzi marudio s/mitaa

Jumanne Mkota

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
2,994
Reaction score
1,770
Nimeikuta whatsapp kwenye group moja linaitwa ccm vs ukawa! Na wanaccm wapo kimya kama kuna mwenye hizi habari tiririke wandugu!
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa baada ya marudio ya uchaguzi.
1: Sengerema mitaa 21, ccm5,chadema15.
2:Magu mitaa18, ccm4,chadema14.
3: Ilemela, mitaa189, ccm29,cuf3, UDP2,chadema155.
4:Nyamagana mitaa175, ccm32, Chadema142.
5:Busega vijiji32, ccm5,chadema27.
6:Bariadi vijijini, vijiji 49, ccm8,Chadema41.
7:Morogoro mjini, mitaa168, ccm45, Chadema 123.
8:Singida mashariki, vijiji140, ccm22, Chadema118.
9:Musoma mjini, mitaa 179, Ccm 0, Chadema 179.
10:Bunda, vijiji 119, ccm7,chadema 112.
11:Tarime, vijiji116, ccm24,chadema92.
12:Ukerewe, vijiji76, ccm23,Cuf3,Chadema50
 
CHADEMA sasa Chama kubwa, hongera sana Mwenyekiti Mbowe
 
wamenisikitisha sana kwa kuitenga KYELA ambayo baada ya ushindi wa kishindo wamezindua visima 7 ndani ya wiki tu !
 
Weita......... Njoo upande huu wasikilize na wale Jamaa pale,maana kwa macho tu wanaonekana ni CHADEMA.........hao wazee hapo waruke.......huo ushindi lazima Nape aseme hajapata matokeo.
 
Inaelekea wimbi la mabadiliko limezidi kuenea mpaka vijijini tofauti na mtazamo uliokuwepo awali kwamba opposition ni urban phenomenon.
 
Back
Top Bottom