Imani Minja
Member
- Nov 13, 2007
- 21
- 10
Taarifa Nilizozipata Kutoka kwa Wasimamizi wa Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga na Kwa Baadhi ya Makada wa CHADEMA ni kwamba CHADEMA kimeweka Pingamizi kwa Mgombea wa CCM.
Ni pingamizi gani naendelea kufuatilia nikipata nitawajuza.
Ni pingamizi gani naendelea kufuatilia nikipata nitawajuza.
Taarifa iliyonifikia kutoka chanzo cha kuaminika ni kuwa mgombea ubunge jimbo la Kalenga kupitia tiketi ya Cham Cha Majambazi amewekewa pingamizi na mgombea wa CDM kwa kuwa na Uraia wa Wingereza ambapo ni kinyume na katiba ya JMT inayokataza uraia wa nchi mbili.
Chama Cha Majambazi kinaendelea kuhaha kujibu pingamizi hili.