CHADEMA yamteua Gerva Bernard Lyenda kuwa mkuu wa Idara ya Habari

CHADEMA yamteua Gerva Bernard Lyenda kuwa mkuu wa Idara ya Habari

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
TAARIFA KWA UMMA​
Kurugenzi ya Habari na Uenezi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inautaarifu umma kuwa Bw. Gerva Bernard Lyenda ameteuliwa kuwa Mkuu wa Idara ya Habari wa Kurugenzi hii kuanzia leo, tarehe 25 Agosti 2025.

Imetolewa leo Jumatatu, 25 Agosti 2025
Brenda Rupia
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi
1756125270193.png
 
Msajili utasikia anasema sijawapa kibali kumteua 😁😁😁😁
Kwa wateule wa CCM uwa haoni cha kuuliza kabisaaaahhh
Msajili ni mpumbavu sana. Anafikiri anaweza kuua itikadi za moyoni? Unaweza kupiga moto ofisi zote za chadema ukifikiri umemaliza kazi ya kuua chama. Lakini itikadi huwa haifi. Inadumu.
Ndo mana bob hayupo duniani na watu bado wanasikiliza nyimbo zake wengine hata lugha hawaielewi lakini nyimbo za bob wanasikiliza, kucheza na kuimba!
Inahitaji fikra kidog
 
TAARIFA KWA UMMA​
Kurugenzi ya Habari na Uenezi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inautaarifu umma kuwa Bw. Gerva Bernard Lyenda ameteuliwa kuwa Mkuu wa Idara ya Habari wa Kurugenzi hii kuanzia leo, tarehe 25 Agosti 2025.

Imetolewa leo Jumatatu, 25 Agosti 2025
Brenca Rupia
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi
View attachment 3452520
Nyumbu wanachaguwana
 
Msajili ni mpumbavu sana. Anafikiri anaweza kuua itikadi za moyoni? Unaweza kupiga moto ofisi zote za chadema ukifikiri umemaliza kazi ya kuua chama. Lakini itikadi huwa haifi. Inadumu.
Ndo mana bob hayupo duniani na watu bado wanasikiliza nyimbo zake wengine hata lugha hawaielewi lakini nyimbo za bob wanasikiliza, kucheza na kuimba!
Inahitaji fikra kidog
Nyumbu wanachaguwana,nyumbu wanachekesha sana.
 
Taarifa ya Chama hicho iliyosambazwa Duniani kote hii hapa

Screenshot_2025-08-25-15-35-10-1.png
Screenshot_2025-08-25-14-31-36-1.png
 
Back
Top Bottom