CHADEMA yamebuma

CHADEMA yamebuma

Status
Not open for further replies.

Nicolas J Clinton Gabone

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2014
Posts
892
Reaction score
536
Ni wazi kuwa chama hiki kimemezwa na UKAWA na hakuna dalili za kujenga chama nje ya UKAWA uchaguzi mkuu umekaribia sana kimekalia harakati za UKAWA sasa waesabu maumivu maana watachelewa.
 
Unazungumzia chagadema lile genge la wachumia tumbo?
 
Chadema wameungana na maliberali kwa hiyo nao ni wale wale tu
 
Nyie mnajianzishi thread ya kucgumia hela sio??. Buku saba bhana
 
Hata hivyo vyama vilivyoungana na CHADEMA na kufanya UKAWA. vimeingizwa Chaka, harakati zote za CHADEMA huwa hazifanikiwi. M4C, OPERESHENI SANGARA, etc Zote zimekuwa historia, sasa hili la UKAWA nalo halichukui Round, hatutalisikia tena. UKAWA ndio mwisho wa CHADEMA.
 
ni wazi kuwa chama hiki kimemezwa na ukawa na hakuna dalili za kujenga chama nje ya ukawa uchaguzi mkuu umekaribia sana kimekalia harakati za ukawa sasa waesabu maumivu maana watachelewa.


......utawa......
 
Hata hivyo vyama vilivyoungana na CHADEMA na kufanya UKAWA. vimeingizwa Chaka, harakati zote za CHADEMA huwa hazifanikiwi. M4C, OPERESHENI SANGARA, etc Zote zimekuwa historia, sasa hili la UKAWA nalo halichukui Round, hatutalisikia tena. UKAWA ndio mwisho wa CHADEMA.

Nakusikitikia sana msalani kuota kifo cha chadema. Idadi ya wapiga kura chadema inapanda kila uchaguz pamoja na kushidwa. Hebu daftar liandikwe ka siyo nyie mnakufa. Niazi kama wewe tu asiyetumia takwimu ataota chadema kufa.
 
Duu ccm kuna akili ndogondogo nyingi sana,hata ukiziunganisha bado hazisaidii jamii
 
Kwa sisi tulioko kwenye taasisi za vyuo vikuu tunaona jinsi gani vijana wa mihemuko ya mabadiliko. Kwa utabiri wa kisomi, miaka kumi inaweza kuwa mingi kwa mabadiliko Tanzania. CCM pamoja na uzuri wake inavyojusifu...itaangua vibaya ndani ya siku chache. Ugumu wa maisha na ukosefu wa ajira ni threat kwa serikali yeyote! Careful people!!!
 
ukitaja ukawa maana yake ni chadema cuf nccr mageuzi vyote hivyo vitasimamisha
Raisi mmoja
 
bila shaka isingekuwa ukawa CHADEMA ingekua end of game. hv ss madhaifu na migogoro iliopo chadema imept coverup ya ukawa.
 
Unajifariji sana mjomba kama MUNGU haishivyo msipotubu dhambi yenu matakufa siku zenu ziko mikononi mwa MUNGU dhambi yenu ni kubwa kwa watanzania wote so kifo ni haki narudia kusema msipotubu dhambi yenu mtakufa. Wanaoshiriki wote katika haya madhambi lazima mtakufa.
 
leo hii MBOWE anawalamba miguu watu wa CUF ambao siku za nyuma waliwatukana , TUNDU LISSU na kifaranga mwenzake WENJE ambao waliwatusi sana NCCR leo wamejificha nyuma yao, ama kweli CHADEMA ni taka taka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom