sisi tunajua tunachofanya' tunajua wapi tumejikwaa na nini tufanye! subiria 2015!
Naona ule ugoro wa Lumumba ambao Nape anaowalisha vijana misukule naona umekufanya kuwa kama zezeta.Ukiona chadema imepata ushindi mahali ujue kuna wachaga au wakristo wengi maeneo hayo
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa madiwani Ccm kata 22, cdm kata 5
Chama dume ccm kimeamua kuwapooza watani zake baada ya kutumia gharama kubwa kwenye uchaguzi wa madiwani ikiwemo kuruka kwa helkopta lakini ikapata vikata vitano tu
Matokeo ya uchaguzi mdogo wa madiwani Ccm kata 22, cdm kata 5
Ukiona chadema imepata ushindi mahali ujue kuna wachaga au wakristo wengi maeneo hayo
waache wenyewe waendeleze propaganda na kuwalipa wabeba matunguli na waua panya ndani
Acheni uzushi, mnapozungumzia Tabora ina maana ya Tabora mjini au? kama kaliua semeni kaliua siyo cdm yajipenyeza Tabora kwa Tabora itachukua miaka endeleeni kutamba huko huko kwingine Tabora marufuku, kata 25 Diwani wa CDM 1 tena aliyejiunga na CDM siku ya mwisho ya uteuzi baada ya ccm kuteua mtu aliyekuwa hatakiwi. lakini pia si vibaya mkijua hadi sasa ninapoa ndika vijana wa ccm vyuo vikuu wa Tabora wameenda kutalii serengeti kama mna mawasiliano na wenzenu wowote waliopo Tabora waulizeni. Tabora ni CCM! take it from me!
huo pia ulikuwa ushindi mkubwa sana kwa CHADEMA kwani ilifanikiwa kutetea kata zake 02 kisha kuongeza zingine 03Matokeo ya uchaguzi mdogo wa madiwani Ccm kata 22, cdm kata 5