CHADEMA yaja kivingine

CHADEMA yaja kivingine

Hivi bado tunawaza CCM itakuja kuondoka madarakani 2020?...hebu tuwaze mengine...
 
Mtoa Mada hiyo namba4 mbona amesahau kuiorodhesha ( Kuja na Mbinu Mpya za kupata Viongozi)?
 
Lowasa anaingiaje hapo? Hii ni mipango ya Katibu Mkuu CHADEMA, Dr Mashinji. Na hizi kauli ndo zitakuwa zinamvunja moyo, mipango apange yeye sifa apewe mwingine.
Lowasa kagawa pesa nyingi sana inaonekana. Jamaa ni kapi la ccm. Na ijulikane kama asingekatwa ccm angebaki kuwa fisadi mschoni pa cdm.
 
Hapa Ndipo ninapo Mvulia Kofia Ndugu Lowassa. Huyu ni Bonge la Kiongozi, kwa Mipango yake na Mikakati yenye Dira hakika Chaadema Kitafanya Kazi Nzuri sana.

Wajipange Vizuri katika Almashauri walizozipata, wawatumikie wananchi kwa ufanisi Mzuri na Maendeleo yaonekane yasiwe Midomoni, wapange kamati moja ya Kutoa Mrejesho kwa Wananchi kwa kazi walizozifanya na Mafanikio yaliyo waletea wananchi husika katika miji na Majiji wanayo yaongoza.

Chama kishuke sasa kwa wananchi, kiwe karibu na Wananchi kwa kuonyesha Dira kama Chama kinachotafuta kuongoza Dola.
Kumbe ni mikakati ya Lowasa and si ya chama? Nadhani imeanza kufuata msingi wa chama tawala - maamuzi kuanzia chini: shina, tawi, kata, wilaya, mkoa, taifa.

Hongera Lowasa, jenga chama chako ulichonunua unahaki ya kufanya lolote.
 
Lowasa anaingiaje hapo? Hii ni mipango ya Katibu Mkuu CHADEMA, Dr Mashinji. Na hizi kauli ndo zitakuwa zinamvunja moyo, mipango apange yeye sifa apewe mwingine.
Kaelekezwa na mmiliki/ mwenye mali - Lowasa, hivyo lazima aseme yeye katibu, maana Lowasa bado hajawa msemaji wa kampuni yake.
 
hata mtembee kichwa chini miguu juu: CHADEMA ni ile ile ya kisanii.
teteeee...tatizo huwa mnajivua ufahamu. lini chadema ikawa ili ile...? umesahau chadema inavyokwenda na wakati wa mbadiliko na kuilazimisha ccm kutumia nguvu za dola kubakia madarakani huku mkitumia sera za chadema kutawala?
 
Back
Top Bottom