Kaitampunu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,381
- 1,255
"Chama Cha msimu" oooh "Chadema Itakufa ndani ya mwaka mmoja"Chama cha wafanya fujo"Chama cha maandamano"Chama cha kikabila"Chama cha kichaga"Chama cha kidini"mwenyekiti wake DJ,Katibu mkuu anachukua wake za watu,Cjui zito nini na nini ooh henche hafai anaua chama,Ila mwisho wake?"Mchaka mchaka chinjaa,alesele aleja" Raha mpaka Kumtima wange
watu wenyewe wanaonekana wamepigika kinoma na pia si wengi wa kutisha. Kagari kamoja na speaker mbovu mbili tu, tehe tehe tehe tehe.
Hiyo ndiyo salaamu kwa mulugo anayeota kurudisha mbeya kwa ccm
watu wenyewe wanaonekana wamepigika kinoma na pia si wengi wa kutisha. Kagari kamoja na speaker mbovu mbili tu, tehe tehe tehe tehe.
watu wenyewe wanaonekana wamepigika kinoma na pia si wengi wa kutisha. Kagari kamoja na speaker mbovu mbili tu, tehe tehe tehe tehe.
shonza na mwampamba wamejikuta wameishia dar na kuogopa kukanyaga ardhi ya ukanda huu kwa sababu wanajua fedheha watakayoipata kutokana na usaliti waliofanya.
watu wenyewe wanaonekana wamepigika kinoma na pia si wengi wa kutisha. Kagari kamoja na speaker mbovu mbili tu, tehe tehe tehe tehe.
CCM imeisha kivipi? Onyesha vidokezo ama fafanua basi ili tujue uongo wako
CCM imeisha kivipi? Onyesha vidokezo ama fafanua basi ili tujue uongo wako