CHADEMA yaishukia Ikulu...!

Hii ina maana rais kama hayupo nchini basi hata kwa simu hawasiliani na waziri wake mkuu kujua kinachoendelea nchini? au ana wapambe wengine akina ngeleja wanaompa habari zote huku akimu ignore waziri mkuu!!
 
Hii ina maana rais kama hayupo nchini basi hata kwa simu hawasiliani na waziri wake mkuu kujua kinachoendelea nchini? au ana wapambe wengine akina ngeleja wanaompa habari zote huku akimu ignore waziri mkuu!!
Nini kazi ya makamu wa rais? Tungeanza kumbana yeye pia.
Sikubaliani na hoja kuwa rais amekosea kutowasiliana na Waziri mkuu. Hii siyo lazima na ingawa mimi ni mbumbumbu, nisingefanya maamuzi over the phone. Ningeonana na hao mawaziri face to face na kuhitaji explanation ya hizo tuhuma.
Najua wengi wetu tungependa kuwatimua uongozi kama walivyofanyiwa viongozi wa CDM Sengerema as if mliwapa hela ya kuweka maspika makubwa wakazitia ndani.
 
Tatizo lenu mnakurupuka!!
JK kutuletea mawaziri wazembe ni kosa ambalo yeye inatakiwa awajibishwe. Lakini siyo kila kinachozungumzwa leo basi rais anapewa taarifa. Rais hapewi taarifa kwa kunong'onezana, bali kwa ripoti ya maandishi, na akipata hiyo ripoti ya kikao ndipo huzungumza na waziri. Kabla ya hapo, ni maneno tu ambayo gazeti la CDM sijui liliyapata wapi.
Yaani wamesema rais kamwambia waziri mkuu "huu ni upepo tu!". Hayo maneno kayasema lini?
Na hapo ndipo unapoona kurugenzi ya uenezi CDM inavyojaribu kuikingia kifua taasisi nyingine.... Tanzania Daima.
Cheap freakin' politics. What a waste!!!

A Big NO,YOU ARE A LIER,This is not std3 bana but JF! HOGT.
 
Jk ana hekima za hali ya juu,anazidi kuwaonyesha jinsi msivyojua siasa...ili suala atalishughulikia ila bila presha kutoka kwa kikundi chochote na iyo ndio hekima...
 
Hii ina maana rais kama hayupo nchini basi hata kwa simu hawasiliani na waziri wake mkuu kujua kinachoendelea nchini? au ana wapambe wengine akina ngeleja wanaompa habari zote huku akimu ignore waziri mkuu!!

ili suala sio la kukurupuka kisa wa2 wanapiga kelele,ni suala la kulifanyia kazi kwa kina ndio uhukumu wa2..
What if kina Lembeli wana mabifu yao ndio wanayapenyeza kwenye ripoti ya kamati??
 
Ati tangu atoke Brazili na sasa yupo Malawi. Shame on U all.
.
 
Nini kazi ya makamu wa rais? Tungeanza kumbana yeye pia.
Sikubaliani na hoja kuwa rais amekosea kutowasiliana na Waziri mkuu. Hii siyo lazima na ingawa mimi ni mbumbumbu, nisingefanya maamuzi over the phone. Ningeonana na hao mawaziri face to face na kuhitaji explanation ya hizo tuhuma.
Najua wengi wetu tungependa kuwatimua uongozi kama walivyofanyiwa viongozi wa CDM Sengerema as if mliwapa hela ya kuweka maspika makubwa wakazitia ndani.

Kazi ya makamu wa raisi; kufungua mikutano, semina na workshops. Hao mawaziri wanawjibika kwa kushindwa kusimamia wizara zao. Sio mara moja, kwa kweli katika suala la uwajibikaji Tanzania iko chini. tatizo linaanzia juu kushuka chini. Halafu waziri mkuu anatia huruma, maana anaonekana hana madaraka ya kusimami mawaziri wake. hapa kuna tatizo kubwa, sio suala la ushabiki tu.
 
Nini kazi ya makamu wa rais? Tungeanza kumbana yeye pia.
Sikubaliani na hoja kuwa rais amekosea kutowasiliana na Waziri mkuu. Hii siyo lazima na ingawa mimi ni mbumbumbu, nisingefanya maamuzi over the phone. Ningeonana na hao mawaziri face to face na kuhitaji explanation ya hizo tuhuma.
Najua wengi wetu tungependa kuwatimua uongozi kama walivyofanyiwa viongozi wa CDM Sengerema as if mliwapa hela ya kuweka maspika makubwa wakazitia ndani.
kobelo, unayakumbuka maneno haya " kama ningekuwa namaamuzi ningemchukulia hatua Jairo leo hii ila Mamlaka yake ya nidhamu ni Rais mwenyewe aliyemteuwa, nimempigia simu Rais alikuwa bado yuko angani akituwa atatoa maelezo" by Mizengo Pinda.

Kuhusu makamo wa Rais nadhani hili siyo swali kutoka kwa mtu makini, hata mtoto mdogo anafahamu vyema kwamba Makamo wa Rais nchi hii kazi zake ni kufunga semina kufunguwa warsha, Makongamano na uzinduzi wa miradi mbalimbali na isitoshe ni cheo tu Celemonial tu walichotengewa Wazanzibar.

Kwahiyo hapa nikikumbuka sakata la Jairo ukweli ni kwamba Rais ana uwezo wa kufanya mawasiliano hata akiwa angani na kiuhalisia ni lazima iwe hivyo maana JK ukimsubiri ardhini ni sawa na kumvizia mamba au Kiboko nchi kavu.
 
State house directorate ishakuwa kama 'beki ya timu ya toto afrika' kazi yao ku_ defence huku impact inakuwa zero.WAO KAZI YAO MAKANUSHO TU.Waige ya wenzao wa Kenya inayoratibiwa na Mdau Alfred Mutua 'al sahaf.'
 
Nini kazi ya makamu wa rais? Tungeanza kumbana yeye pia.
Sikubaliani na hoja kuwa rais amekosea kutowasiliana na Waziri mkuu. Hii siyo lazima na ingawa mimi ni mbumbumbu, nisingefanya maamuzi over the phone. Ningeonana na hao mawaziri face to face na kuhitaji explanation ya hizo tuhuma.
Najua wengi wetu tungependa kuwatimua uongozi kama walivyofanyiwa viongozi wa CDM Sengerema as if mliwapa hela ya kuweka maspika makubwa wakazitia ndani.

Mzee,what a waste!

Kwani huyo rais wako alikuwa hazifahamu hizo tuhuma? Alikuwa hajaiona ripoti ya CAG?
Kwani hii ni mara yake ya kwanza kufanya hivyo? Je,hakujawahi kutokea tuhuma kama hizo awali? Rais wako alifanya nini?

Mzee huyo rais wako ni BOGUS. Bure kabisa. Hawezi kuamua lolote wala kufanya lolote zaidi ya kuhani misiba na kuzurura kama KUKU.
 
Mbona tumezoea maneno ya ikulu kukanusha ukweli na kutudanganya watanzania kila siku mfano mgomo wa madaktari walisema rais hajaambiwa na hili la mawaziri nilijua pia watasema rais Jeykey hajui
 
Tatizo lenu mnakurupuka!!
JK kutuletea mawaziri wazembe ni kosa ambalo yeye inatakiwa awajibishwe. Lakini siyo kila kinachozungumzwa leo basi rais anapewa taarifa. Rais hapewi taarifa kwa kunong'onezana, bali kwa ripoti ya maandishi, na akipata hiyo ripoti ya kikao ndipo huzungumza na waziri. Kabla ya hapo, ni maneno tu ambayo gazeti la CDM sijui liliyapata wapi.
Yaani wamesema rais kamwambia waziri mkuu "huu ni upepo tu!". Hayo maneno kayasema lini?
Na hapo ndipo unapoona kurugenzi ya uenezi CDM inavyojaribu kuikingia kifua taasisi nyingine.... Tanzania Daima.
Cheap freakin' politics. What a waste!!!

Kobello naamini umeamua kutetea ukipendacho tu, damu nzito.

Nijuavyo mimi rais anapewa taarifa ya hali ya nchi kila siku, awe nchini ama safarini. Wamarekani wao wanaita "President's Daily Brief - PDB".

Sitaki kuamini kuna tishio la vote of no confidence kwa waziri mkuu rais asijulishwe na akatoa mwongozo. Asipotoa mwongozo inamaanisha anataka waziri mkuu wake apigwe chini kwa mtindo huo.

Sitaki kuamini wabunge wa chama chako wamekaa wakaafikiana, mawaziri 8 wanaotuhumiwa wajiuzuru ili kuokoa haiba ya chama na serkali yake, uniambie taarifa hizi rais asiwe nazo kisa yupo na Maximo Brasilia.....

Hebu tujiulize kama ilikubaliwa mawaziri 8 waachie ngazi chini ya uenyekiti wa PM, mamlaka ipi imezuia hili lisifanyike?? Je ni Dr. Bilal au Dr. Kikwete???

Kobello ukituliza kichwa kidogo tu utabaini ushenzi wa viongozi wetu na hautapata ujasiri wa kumtetea yeyote kati yao.....
 
Kobello naamini umeamua kutetea ukipendacho tu, damu nzito.

Nijuavyo mimi rais anapewa taarifa ya hali ya nchi kila siku, awe nchini ama safarini. Wamarekani wao wanaita "President's Daily Brief - PDB".

Sitaki kuamini kuna tishio la vote of no confidence kwa waziri mkuu rais asijulishwe na akatoa mwongozo. Asipotoa mwongozo inamaanisha anataka waziri mkuu wake apigwe chini kwa mtindo huo.

Sitaki kuamini wabunge wa chama chako wamekaa wakaafikiana, mawaziri 8 wanaotuhumiwa wajiuzuru ili kuokoa haiba ya chama na serkali yake, uniambie taarifa hizi rais asiwe nazo kisa yupo na Maximo Brasilia.....

Hebu tujiulize kama ilikubaliwa mawaziri 8 waachie ngazi chini ya uenyekiti wa PM, mamlaka ipi imezuia hili lisifanyike?? Je ni Dr. Bilal au Dr. Kikwete???

Kobello ukituliza kichwa kidogo tu utabaini ushenzi wa viongozi wetu na hautapata ujasiri wa kumtetea yeyote kati yao.....

kaka umemaliza kilakitu na sijui kwanini kurugenzi ya mawasiliano ikulu iliamua kujichafua sababu wote sasa tumekubali kua tanzania daima walikua sahihi that jk amezuia hilo kutokea.
 
jamani hizo pessa ni kwa ajili ya hongo za uchaguzi 2015, jk anazijua vyema kwanini awawajibishe?
 
Jamani hivi unakuwaje waziri mkuu ambae huna madaraka? Na mbaya zaidi wewe ulieteuliwa kukubali kuwa kanya boya? Tofauti ya waziri mkuu wa sasa na kile cheo alichopewaga Lyatonga enzi za mzee Ruksa ni nn? Ukimuangalia waziri mkuu bungeni unaona kama mtu mwenye kutafakari sana, kumbe kumbe mwisho wa siku majumuisho ndio yale! Kweli ana machozi ya mamba. Ila ushauri wangu kwa PM kinywa chake kisiudanganye moyo wake. Kwani baada ya haya kuna maisha mbele ya safari huko kwenye umilele. Warumi 1:28-32.
 
Back
Top Bottom