CCM wameshinda kwa asilimia 61 (61%) Uzini, Chadema Asilimia 4 (4%)
Kwa akili yako unafikiri hicho kitongoji chako ndo jimbo zima? wewe kweli *****hicho ni kitongoji tu na jimbo ni kubwa zaidinimefatilia habari hizi nimegundua kuwa akija mwehu mmoja na akatudanganya kuwa jeshi limeasi wana jamii forum tutamiamini na kumpa pongezi , au akituambia chadema wapewewa urais jk kakubali kutoka ikuru tutakubali haraka, muhimu habari iwe na chadema ndani, mimi ni mkaazi wa kharumwa, kitongoji cha nyaweshi sasa habari hizi mbona atuzijui za chadema kuisambaratisha ccm jimbo la nyang'wale
tatizo la hawa watu huwa hawaongei bungeni ni sawa na alijiudhuru baada ya kuchoshwa na siasa uchwara za chama chakeMwarabu Hussein A.Kasu CCM fisadi wa kutupwa.
Wanachama 89 toka ccm wamerudisha kadi leo nakuchukua kadi za CDM huku watu 25 ambao hawakuwa na chama wamejiunga na CDM.Ni operation ondoa CCM jimboni Nyang'hwale inaendelea.
Wanachama 89 toka ccm wamerudisha kadi leo nakuchukua kadi za CDM huku watu 25 ambao hawakuwa na chama wamejiunga na CDM.Ni operation ondoa CCM jimboni Nyang'hwale inaendelea.