CHADEMA yaisambaratisha CCM Bukene

Standalone

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2014
Posts
676
Reaction score
576
Chadema imefanya operesheni kubwa mkoani Tabora jimbo la Bukene, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita bwana Afphonce Mawazo.

Katika operesheni hiyo Wanavijiji 267 Wamerudisha kadi za CCM na kuchukua kadi za chadema.

Akizungumzia kazi hiyo Kamanda mawazo alisema "Kazi ya Mungu inaendelea Jimboni Bukene,hapa ni Vijijini sana na mababu na mabibi wamesema yatosha''.



Kadi za CCM zilizorudishwa zilichomwa moto hapo hapo...Nilikuwa sitaki kuweka hii picha ila Kuna Matomaso huwa hawaamini bila picha
 
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki CHADEMA.

Ahsante kamanda kwa taarifa tuko pamoja.

Ninaomba sasa CHADEMA ifanye kazi kama siafu kushambulia kila kona ya Tanzania ili kuhakikisha ccm inafutika. Watanzania wanahitaji maendeleo, wanahitaji kuona kizazi chenye mwanga na matumaini mapya.

CCm imetuua sana.
 
Mbona kama vile hawawaelewi? Mmewashikisha ili muwapige picha!
 
Tuonyeshe hizo kadi za CCM zilizo rudishwa
 
Hii ndiyo Chadema.Wendawazimu wanaodhani watafanikiwa kuhujumu Chadema kupitia vyama vibaraka vya CCM wanajidanganya sana.
 
Mbona kama hawaelewi walichopewa

Hebu angali aina ya nyumba nyuma ya hizo picha, watakuwa wanashangaa kuona kama ipo siku watakuja kombolewa kutoka kwenye maisha ya namna hiyo.
 
Mbona kama hawaelewi walichopewa

Hii ndiyo Chadema.CCM watafadhili vyama vibaraka kupambana na Chadema lakini kamwe hawatafanikiwa.Watanzania siyo wajinga tena!
 

Mbinu ya mwisho ya CCM ni kuanzisha vyama vibaraka vinavyopewa ruzuku na CCM ili kudhoofisha nguvu ya Ukawa.

Nawahakikishia hata mbinu hii watashindwa tu.
 
Mbona huonyeshi hizo Kadi za CCM zilizo rudishwa??? Acha uongo

Nimeshasema Kadi zilichomwa moto....Picha angalia juu...Utomaso sio Tabia nzuri...
Unajua Kuna watu wengine hata kama wanakata roho huwa wanajifanya kama hawaelewi....Hiyo ndio CCM..
Hadi kijijini Wamefahamu Kuwa Chadema ndio Mkombozi wao
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…