CHADEMA yaingia Kanda ya Kusini

CHADEMA yaingia Kanda ya Kusini

Ccm element hamna hati miliki ya nchi yetu,hii ni ya sisi wote, nakushangaa sana middle class mtoa hoja you can go so low kwa mkutano huu wa CDM na uka pick futari kama ndio habari, upumbavu huu ni cancer mbaya mno
 
Kwahiyo wakienda kwenye futari ndio wataona matokeo? Mtu mzima kuleta story isiyochekesha nayo ni aibu ya aina fulani.
Mkuu umetumia lugha laini sana kama muungwana, lakini kutokana na ujinga wake hata kuelewa.
Sahihi kumwambia ni mtu mzima kuandika ujinga mbele za watu ni upumbaf
 
Chadema Sasa waja na mbinu ya Kufuturisha Ili kuvutia Watu kwenye Mikutano Yao 😁😁

View attachment 2585449View attachment 2585450Inaonesha Wananchi wamechoshwa na hadithi zisizo na matokeo..

Wakubwa wanalamba asali harafu wanakuja kuwapigia kelele Watu.
Una akili timaru wewe?
Unajua maana hasa ya futur na kufuturisha?
Ulishawahi kufuturu?
Nikuulize nn kibaya hapo?
Makonda alishawah kufuturisha wakati ni mkristo ulikuwa wapi wakati huo? Tuseme makonda alikuwa anatafta nn
 
Una akili timaru wewe?
Unajua maana hasa ya futur na kufuturisha?
Ulishawahi kufuturu?
Nikuulize nn kibaya hapo?
Makonda alishawah kufuturisha wakati ni mkristo ulikuwa wapi wakati huo? Tuseme makonda alikuwa anatafta nn
Kwani nani kasema Kuna Kibaya? Hiyo kete ya kuvutia watu Mkutanoni mumeianzisha Sasa baada ya hali mbaya maana mlikuwaga mnawacheka ccm nyie.
 
Kwani nani kasema Kuna Kibaya? Hiyo kete ya kuvutia watu Mkutanoni mumeianzisha Sasa baada ya hali mbaya maana mlikuwaga mnawacheka ccm nyie.
Halafu mnaleta uzushi kuwa Chadema imeandaa futari kumbe wao ndio wamealikwa! Mnaongea uongo hadi aibu kwa mijitu mizima
Screenshot_20230412-185803_Twitter.jpg
View attachment 2585533
 
Kwahiyo wakienda kwenye futari ndio wataona matokeo? Mtu mzima kuleta story isiyochekesha nayo ni aibu ya aina fulani.
Suala ni Chadema kuchokwa hadi kufikia hatua ya kubembeleza watu kupitia imani za kidini,pamoja na vyakula
JamiiForums-1469229787.jpg
 
Back
Top Bottom