Mulungwani
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 456
- 84
Waacheni Wanyiramba waendelee kuramba miguu ya MWIGULU njaa mbaya sana IRAMBA kwa Wanyiramba
Uchaguzi mdogo huko mbinga,kata ya mkako,kijiji cha Amani CCM imeangukia KISOGO baada ya mgombea wa chadema kupata kura 58 kati ya kura 103 zilizopigwa .Zama za MAGAMBA ZIMEFIKA.wajiandae kuwa wapinzani
uchaguzi mdogo huko mbinga,kata ya mkako,kijiji cha amani ccm imeangukia kisogo baada ya mgombea wa chadema kupata kura 58 kati ya kura 103 zilizopigwa .zama za magamba zimefika.wajiandae kuwa wapinzani