Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
KESI za uchaguzi nilizotolewa maamuzi jana kwa kata NNE za IRINGA mjini CHADEMA imeshinda zote NNE na CCM Kuambulia 0. KATA HIZO NI KIHESA, MAKORONGONI, RUAHA na MWANGATA
Jamaa anafuraha sana mapaka amekoseaMbeya ??.Iringa ????? badili heading
KESI za uchaguzi nilizotolewa maamuzi jana kwa kata NNE za IRINGA mjini CHADEMA imeshinda zote NNE na CCM Kuambulia 0. KATA HIZO NI KIHESA, MAKORONGONI, RUAHA na MWANGATA
Sorry nikosa lakiuwandishi litarekebishwa ni IringaMbeya ??.Iringa ????? badili heading
Mwandishi kamanda na yeye anashangilia ushindiSorry nikosa lakiuwandishi litarekebishwa ni Iringa
Hapo bavicha wataisifia sana mahakama ya Magufuli chini ya ccmKESI za uchaguzi nilizotolewa maamuzi jana kwa kata NNE za IRINGA mjini CHADEMA imeshinda zote NNE na CCM Kuambulia 0. KATA HIZO NI KIHESA, MAKORONGONI, RUAHA na MWANGATA
nchi hii chadema wanaongoza ila ccm wanatawalaHabari mbaya sana kwa wamiliki mapanga shaa......
LizabonNani alikuwa mlalamikaji katika kesi hizo nne.
Generally hata uchaguzi mkuu walishinda, lakini kwakuwa wao ndio walishika mpini.
Katiba yetu mbovu sana, angalia boss anavyopandiliza makada na wakereketwa ktk madaraka hayo ya ukurugenzi na madas halafu utegemee nini ??!!Nchi nzima upinzani ulishinda majimbo mengi sana isipokuwa hila tu za baadhi ya wakurugenzi ndio zilisababisha kutangaza matokeo kuwa ccm ni washindi, hovyo kabisa.
Bado halijarekebishwa .Sorry nikosa lakiuwandishi litarekebishwa ni Iringa
pole habari mbaya sana hii kwa uvccmHapo bavicha wataisifia sana mahakama ya Magufuli chini ya ccm