Hawa wanafiki tena wakubwa mno, Hamisi tuambie umewasaidiaje watanzania wa Nzega kunufaika na Resolute (Mgodi) ambao kimsingi mwezi huu desemba wanaufunga???? Umejiandaa kufunika mashimo?? January wewe ndio kabisa, dada yako mwamvita kajenga mjumba wa bilioni zinakaribia 3 pesa hiyo kaitoa wapi??? Nin yi kupanda bajaji ni kuwasanifu watu, njooni mpande na daladala za dsm kwa mwezi mzima na wakati mvua inashenya muibiwe kidogo, mkutano na mitaro ya maji machafu kidogo, mkutano na waporaji kidogo ili mpate ali halisi ya kitaa:majani7::majani7:Bajaji mnajidai kupanda mkiona jamu na mna haraka ya kuwahi kumbi za maraha:majani7: