CHADEMA yaguswa na Kifo cha Mzee Mengi

CHADEMA yaguswa na Kifo cha Mzee Mengi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,676
Reaction score
272,523
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ) kupitia kwa umoja wa vijana wa chama hicho ( Bavicha ) ambayo ndio Taasisi imara zaidi ya vijana barani Africa kwa sasa , imesikitishwa na imeguswa na msiba wa Mzee Mengi na inawapa pole sana wote walioguswa na msiba huo , Bavicha iko bega kwa bega na wafiwa katika maombolezo

FB_IMG_1556785565182.jpg
 
Mada Ritha.jpg

Tuko wengi tulioguswa na kifo cha Mzee Mengi na huu ndiyo wakati wa kusamehe!
 
Poleni sana Familia ya Hayati Mzee Mengi.
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema ) kupitia kwa umoja wa vijana wa chama hicho ( Bavicha ) ambayo ndio Taasisi imara zaidi ya vijana barani Africa kwa sasa , imesikitishwa na imeguswa na msiba wa Mzee Mengi na inawapa pole sana wote walioguswa na msiba huo , Bavicha iko bega kwa bega na wafiwa katika maombolezo

View attachment 1086105
Meseji yao ilikuwa poa tu kwa msiba, kabla wewe huja-dilute na cheap politics. Ulikuwa unaogopa Uvccm watakuwahi!
 
Nitangulize pole na rambirambi kwa familia,ndugu,jamaa,marafiki na watu wote walioguswa na misiba wa mzee mengi,pole kwa wana ccm kwa majukumu mnayo fanya ya kuandaa mazingira mazuri kwaajili ya kupokea wageni watakao dhuru hai kwaajili ya mazishi ya Dr. Reginald Abraham Mengi.
 
Angalau ccm pole pole wanapunguza ubaguzi wa kuzikana??? Shame on them! Ndugai na bunge lake! Shame on him kwa kuacha kuhudhuria mazishi ya wabunge wenzenu!!
 
Back
Top Bottom