Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,661
- 6,909
Act haina mpango wa kugombana na chama chochote bana. Nyie cdm ndio mna chuki ya kike kuona chama kingine kipya kwani kwa ujinga wenu mnadhani nyie ndio wenye kura ya turufu ya kuwa wapinzani. Act ni wazalendo kama unatambua maana ya wazalendo na wewe unajiamini ni miongoni mwa wazalendo basi jiunge sasa usipoteze muda
hiki ni chama pinzani cha upinzanihivi act vision yenu ni ipi? Mission yenu nini?
Nyie kama chama cha siasa malengo yenu makuu n yapi?
Kushindana na ccm? Kushindana na cdm? Au kushindana na vyote kwa pamoja??
ukiondoa kigoma mjini na baadhi ya maeneo machache sana ya mkoa wa kigoma,act inafahamika zaidi kwenye mitandao ya kijamii.yaani mikoa mingine hata hawajui act ni mdudu gani tanzania.
Na hii ni dhahiri na thabiti kabisa
adui mkubwa wa Zitto na ACT yake ni CCM hawatakuwa tayari kuona Zitto anachomoza tena na huu ndio mwisho wake.
Na ni aibu kubwa kwa mtu mwenye akili timamu kumtii MBOWE wakati ni tapeli la siasa.
Mmeishiwa sera, cuf nao mliwaambia hivyo hivyo ccm b, Leo mpo pamoja tuwaelewe vipi?
Mbowe Kamtapeli Nani??, Angalia Ndani ya CCM Utawakuta Matapeli wa Kimataifa bro...
Baada ya aliyekuwa mbunge wa kigoma kaskazini kwa tiketi ya chadema zitto kabwe kuondoka ndani ya chama hicho sasa ni dhahiri shahiri kuwa chama hicho kimepotea rasmi ndani ya mkoa wa kigoma,
Hali hiyo inatokana na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanakiunga mkono chama hicho kuamua kumwaga manyanga na kujiunga na chama cha ACT na baadhi kuamua kurudi CCM,huku wakisema wamechoka kuwatumikia wachaga,.
Aidha ni dhahiri kuwa jimbo la kigoma kaskazini sasa limeisha toka mikononi mwa chadema,iwapo mgombea anayetaka nafasi hiyo bwana yered fubusa atapitishwa na chama Hicho kupeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao,
jimbo hilo la kigoma kaskazini limeonekana kukamiwa sana na chama cha mapinduzi,huku makada wake maarufu hamisi betese,robinson lembo,paschal mahwago,peter serukamba wakiliwinda kwa udi na uvumba huku nyota anga'avu ikionekana kumwangukia peter serukamba,
Ukinukuu gazeti unatakiwa uweke wazi ni Gazeti Namba ngapi, na la tarehe ngapi. Kinyume na hivyo ni habari ya kutunga.
Wewe nadhani ni mmoja wao kati ya wale misukule wa CDM wanaofuata upepo na kuamini kila wanachoambiwa na Mbowe bila kuhoji? Hiyo habari ya Mbowe kupewa hlela na Mkono wewe ndio leo unaisikia? Mbona hata hapa JF imeongelewa sana?
usije ukajiharishia kwa woga wa kuigopa act
kawatapeli wengi ukiwemo wewe. Kabadili katiba abakie kwenye uenyekiti, kaweka sheria za kidikteta kwenye katiba ya chadema, kawauzia mafuso mabovu na maspika mabovu, kajipa tenda ya kuagiza pikipiki za chama toka Japan bila kutembeza quotation wa zabuni!
Waha kwa muha mwenzao. Zitto ni mashine lakini Shida yake kubwa anajiona yeye ndio yeye. Bila yeye hakuna chama. Asipo jirekebisha mwisho wake ni ubunge tu