Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,286
- 222,336
Siku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!Baada ya Mapumziko ya Jumapili, leo tena ile kazi ya Ukombozi wa Nchi inaendelea.
Tundu Lissu anaongoza Maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
View attachment 2976542
Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa miongoni mwa Mikoa Duni kabisa Nchini Tanzania, ambayo wakazi wake wanaishi katika umasikini wa kutupwa
Usiondoke JF kwa taarifa zote kuhusu maandamano hsya na Tuvitu vitu
=========
Umenisingizia uongoSiku zote unatupanga tusiondoke mwisho wa siku hakuna mubashara ukiletacho mpaka siku ya tatu u-edit picha!
Wewe endelea kulala waache wengine wapoteze mudahaya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Ulikuwa jela?nasubiri kuona maandamano Dar es Salaam yatakuwa na impact gani.
sawa chawa promax mwenye bidii zote.Wewe endelea kulala waache wengine wapoteze muda
Na dodoma piaBaada ya Mapumziko ya Jumapili, leo tena ile kazi ya Ukombozi wa Nchi inaendelea.
Tundu Lissu anaongoza Maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
View attachment 2976542
Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa miongoni mwa Mikoa Duni kabisa Nchini Tanzania, ambayo wakazi wake wanaishi katika umasikini wa kutupwa
Usiondoke JF kwa taarifa zote kuhusu maandamano hsya na Tuvitu vitu
=========
Endelea kusubiri....Impact ni tit for tatnasubiri kuona maandamano Dar es Salaam yatakuwa na impact gani.
Tulijua ukishaishiwa hoja utaanza kutukanasawa chawa promax mwenye bidii zote.
nilikuwa busy na maisha yangu katika kutafuta ugali kwa watoto wangu.Ulikuwa jela?
Dodoma imedumazwa na akina NdugaiBaada ya Mapumziko ya Jumapili, leo tena ile kazi ya Ukombozi wa Nchi inaendelea.
Tundu Lissu anaongoza Maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa Maisha na Sheria mbovu za Uchaguzi.
View attachment 2976542
Mkoa wa Dodoma unatajwa kuwa miongoni mwa Mikoa Duni kabisa Nchini Tanzania, ambayo wakazi wake wanaishi katika umasikini wa kutupwa
Usiondoke JF kwa taarifa zote kuhusu maandamano hsya na Tuvitu vitu
=========
CCM inapokea 3B ruzuku kwa mwezi, CDM 12m per month, tuonyeshe pesa za CCM zinafanya nini?Ukitoa kutafuta sehemu ya kuhalalisha ufujwaji wa pesa za rudhuku, haya maandamano hayana impacts yeyote kwa Tanzania hii.
katika malimbukeni wakubwa ni huyo Lisu, anaishi Kwa kuwaza mabaya Tu kichwani mwakehaya maandano ayana impact yoyote,kufanya kitu kwa maigizo ni kupoteza muda.
Si zinajenga chama, ma ofisi yanajengwa kuanzia kwenye mashina, vijiji hadi kata, unataka nini zaidi..?CCM inapokea 3B ruzuku kwa mwezi, CDM 12m per month, tuonyeshe pesa za CCM zinafanya nini?
We ni mwenda wazimu haswa, CHADEMA hawana ofisi? CCM inatumia mafuta ya DED/RAS mikoani pamoja na service za magari, nje na michango ya lazima kwa wafanyabiashara, hukumsikia Makonda alivyosema wanafanyabiashara wanaichangia CCM kwa hofu? shame on you we chawa usiye na akili timamu.Si zinajenga chama, ma ofisi yanajengwa kuanzia kwenye mashina, vijiji hadi kata, unataka nini zaidi..?