Wengi wao ni ma-copy and pasteHaya bana. All the best CUF ila kuweni wabunifu badala ya kuiga vya wenzenu. Hawa wakianzisha operesheni Sangara na nyie mnaanzisha Zinduka; wakianzisha M4C na nyie V4C! Hamuwezi kubuni vyenu? Mna vichwa au nazi?
".....Mtemelwa alisema chama hicho hakina uwezo wa kuzunguka nchi nzima kunadi mkakati wao na kwamba kusema kinakwenda kubomoa ngome ya CHADEMA jijini Arusha ni siasa za kitoto."
Hapo mimi ndiyo huwa nachoka na CUF,kuweka upinzani kwa vyama vya upinzani,kweli ukiishaolewa kazi kweli kweli.
Haya bana. All the best CUF ila kuweni wabunifu badala ya kuiga vya wenzenu. Hawa wakianzisha operesheni Sangara na nyie mnaanzisha Zinduka; wakianzisha M4C na nyie V4C! Hamuwezi kubuni vyenu? Mna vichwa au nazi?
Haya bana. All the best CUF ila kuweni wabunifu badala ya kuiga vya wenzenu. Hawa wakianzisha operesheni Sangara na nyie mnaanzisha Zinduka; wakianzisha M4C na nyie V4C! Hamuwezi kubuni vyenu? Mna vichwa au nazi?
".....Mtemelwa alisema chama hicho hakina uwezo wa kuzunguka nchi nzima kunadi mkakati wao na kwamba kusema kinakwenda kubomoa ngome ya CHADEMA jijini Arusha ni siasa za kitoto."
Hapo mimi ndiyo huwa nachoka na CUF,kuweka upinzani kwa vyama vya upinzani,kweli ukiishaolewa kazi kweli kweli.
Si ndiyo kazi ya CCM mdau.........
Ndio masharti ya ndoa yao na chama cha magamba.
Mchaka mchaka wa CUF Unawachanganya CHADEMA, CUF hawawezi kuiga siasa za udini wa CHADEMA.
Haya bana. All the best CUF ila kuweni wabunifu badala ya kuiga vya wenzenu. Hawa wakianzisha operesheni Sangara na nyie mnaanzisha Zinduka; wakianzisha M4C na nyie V4C! Hamuwezi kubuni vyenu? Mna vichwa au nazi?
Eti hao wapemba wakabomoe ngome ya CDM Arusha.Kituko! Wamuulize Pinda alifanywa nini Mwanza jana.
Daaaaaaah kumbe mchakamchaka wa Cuf ni kuibomoa chadema! Kazi wanyo