RUMANYIKA
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 315
- 74
Mapendekezo yangu chuo kilichompatia Willbroad slaa udokta kimnyanganye kwani ana dhalilisha hadhi ya hicho chuo nawasilisha
Inakuathiri nini akinyang'anywa?
Mapendekezo yangu chuo kilichompatia Willbroad slaa udokta kimnyanganye kwani ana dhalilisha hadhi ya hicho chuo nawasilisha
Inawezekana ni jana kweli ila naijua JF mudaKumbe amejiunga jana tu.
Mapendekezo yangu chuo kilichompatia Willbroad slaa udokta kimnyanganye kwani ana dhalilisha hadhi ya hicho chuo nawasilisha
Wakae na Shibuda awafunde siasa.
Mapendekezo yangu chuo kilichompatia Willbroad slaa udokta kimnyanganye kwani ana dhalilisha hadhi ya hicho chuo nawasilisha
Kwani uongo jamani mwe si kweeeli je mmeandamana Dar??? Je Mbowe alisema alikuwepo NMC??? Je polisi walimkuta wapi slaaa??????
Duh!na wewe ni CHADEMA kumbe karibu sana mkuu!!Hivi maandamano bado yanatusaidia sana CDM? Nadhani watu wameanza kuichoka hii style yetu - leo maandamano kesho mahakamani, tubadilishe mbinu ya kukabiliana na Magamba