Operation sangara zindua tabora inayoratibiwa na bavicha wilaya imeamsha akili za watu na kuwafanya wafunguke akili zao.mkutano huo wa hadhara ambao uliambatana na viongozi mbali mbali kutoka mkoa,wilaya na makamanda wa vyuo mbalimbali kama saut-tabora,ttc,dodoma,st.john na taasis ya elimu ya watu wazima.mambo yalizungumzwa katika mkutano huo yamewafanya wakazi wa isevya kuipokea chadema na kufahamu namna viongozi wao hasa magamba wanavyowachezea.na wakazi wengi wakaamua kuachana na ccm na kununua kadi za chadema na wakiamini kuwa hiki ndicho chama tumaini pekee baada ya ccm kushindwa kuwaletea maendeleo kwa miaka hasini ya uhuru.
Mada zilizozungumzwa
1.maadili ya viongozi na utawala bora.
2.mchakato wa katiba mpya
3.ushiriki wa wananchi katika siasa ya tanzania.
4.ufisadi wa viongozi wa halmashauri ya manispaa.
5.maendeleo kwa ujumla.
Matamko
1.halmashauri ya manispaa kwa kushirikiana na ofisi ya waziri mkuu kutafutia ufumbuzi suala la uhaba wa chakula na gharama.
2.serikali kuacha mara moja kuhamisha watumishi wanaokabiliwa na tuhuma za ufisadi mfano mkurugenzi wa halmashauri ahamishiwa uyui toka tabora manispaa.
3.viongozi wa mitaa,kata,na mabalozi wa ccm waache kuwatisha wananchi na wakazi wa tabora.
Mafanikio
1.tawi la chadema kata ya isevya limefunguliwa rasmi.
2.wamepata wanachama wapya 165.
3.kumalizika kwa mkutano katika hali ya amani na utulivu.
Peoples ...............................m4c.............................power............twanga kote kote..........hakuna kulala mpaka kieleweke
Mada zilizozungumzwa
1.maadili ya viongozi na utawala bora.
2.mchakato wa katiba mpya
3.ushiriki wa wananchi katika siasa ya tanzania.
4.ufisadi wa viongozi wa halmashauri ya manispaa.
5.maendeleo kwa ujumla.
Matamko
1.halmashauri ya manispaa kwa kushirikiana na ofisi ya waziri mkuu kutafutia ufumbuzi suala la uhaba wa chakula na gharama.
2.serikali kuacha mara moja kuhamisha watumishi wanaokabiliwa na tuhuma za ufisadi mfano mkurugenzi wa halmashauri ahamishiwa uyui toka tabora manispaa.
3.viongozi wa mitaa,kata,na mabalozi wa ccm waache kuwatisha wananchi na wakazi wa tabora.
Mafanikio
1.tawi la chadema kata ya isevya limefunguliwa rasmi.
2.wamepata wanachama wapya 165.
3.kumalizika kwa mkutano katika hali ya amani na utulivu.
Peoples ...............................m4c.............................power............twanga kote kote..........hakuna kulala mpaka kieleweke