CHADEMA ya Wasomi: Mbunge wa Mlimba Suzan Kiwanga ashindwa kusoma 11,070. Arudia mara tano bila mafanikio. Spika aingilia

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Mbunge wa mlimba kupitia CHADEMA, Suzan Kiwanga katika namna ya kushangaza sana ameshindwa kabisa kutaja kiwango cha fedha alichokuwa akikisoma wakati akiuliza swali kwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango.

Kiwanga alishindwa kutaja 11,070 licha ya kurudia kama mara tano kwa style tofauti. Spika alilazimika kuingilia kati kumnusuru baada ya Wabunge kushikwa mshangao namna Suzan alivyoshindwa kusoma data hizo.

Kuna wakati alisoma kuwa ni laki moja, baadaye akaamua kutaja herufi moja moja (tarakimu) bila mafanikio, akarudia kutaja kwa maneno na kurudi kwenye tarakimu bila kufanikiwa.

Hongera Spika kwa kuwa mwelewa na kuokoa jahazi la CHADEMA
 

Attachments

  • VID-20190205-WA0000 (1).mp4
    3.3 MB · Views: 30
Mbunge wa mlimba kupitia CHADEMA, Suzan Kiwanga katika namna ya kushangaza sana ameshindwa kabisa kutaja kiwango cha fedha alichokuwa akikisoma wakati akiuliza swali kwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango.

Kiwanga alishindwa kutaja 11,070 licha ya kurudia kama mara tano kwa style tofauti. Spika alilazimika kuingilia kati kumnusuru baada ya Wabunge kushikwa mshangao namna Suzan alivyoshindwa kusoma data hizo.

Kuna wakati alisoma kuwa ni laki moja, baadaye akaamua kutaja herufi moja moja (tarakimu) bila mafanikio, akarudia kutaja kwa maneno na kurudi kwenye tarakimu bila kufanikiwa.

Hongera Spika kwa kuwa mwelewa na kuokoa jahazi la CHADEMA
Ni bahati mbaya tuu....,
Pia tumewahi kushuhudia kutokea kwa Viongozi wengine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbunge wa mlimba kupitia CHADEMA, Suzan Kiwanga katika namna ya kushangaza sana ameshindwa kabisa kutaja kiwango cha fedha alichokuwa akikisoma wakati akiuliza swali kwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango.

Kiwanga alishindwa kutaja 11,070 licha ya kurudia kama mara tano kwa style tofauti. Spika alilazimika kuingilia kati kumnusuru baada ya Wabunge kushikwa mshangao namna Suzan alivyoshindwa kusoma data hizo.

Kuna wakati alisoma kuwa ni laki moja, baadaye akaamua kutaja herufi moja moja (tarakimu) bila mafanikio, akarudia kutaja kwa maneno na kurudi kwenye tarakimu bila kufanikiwa.

Hongera Spika kwa kuwa mwelewa na kuokoa jahazi la CHADEMA
Umesahau entrepreneurship
 
Mbunge wa mlimba kupitia CHADEMA, Suzan Kiwanga katika namna ya kushangaza sana ameshindwa kabisa kutaja kiwango cha fedha alichokuwa akikisoma wakati akiuliza swali kwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango.

Kiwanga alishindwa kutaja 11,070 licha ya kurudia kama mara tano kwa style tofauti. Spika alilazimika kuingilia kati kumnusuru baada ya Wabunge kushikwa mshangao namna Suzan alivyoshindwa kusoma data hizo.

Kuna wakati alisoma kuwa ni laki moja, baadaye akaamua kutaja herufi moja moja (tarakimu) bila mafanikio, akarudia kutaja kwa maneno na kurudi kwenye tarakimu bila kufanikiwa.

Hongera Spika kwa kuwa mwelewa na kuokoa jahazi la CHADEMA

Si hiyo ni hali ya kawaida bwana wewe kwa watu wenye kigugumizi??

Ndo wataka kulifanya kuwa mjadala hapa kweli?

Mbona nyie wakurya hata mrudie mara mia mbili kutamka jina la mkoa wa "Lindi" huku ukiwa umeelekezewa mtutu wa bunduki, mtu ataishia kutamka tu "Riindi" mpaka mwakani:p:p:p:p?
 
Intapilinuaa......
Mbunge wa mlimba kupitia CHADEMA, Suzan Kiwanga katika namna ya kushangaza sana ameshindwa kabisa kutaja kiwango cha fedha alichokuwa akikisoma wakati akiuliza swali kwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango.

Kiwanga alishindwa kutaja 11,070 licha ya kurudia kama mara tano kwa style tofauti. Spika alilazimika kuingilia kati kumnusuru baada ya Wabunge kushikwa mshangao namna Suzan alivyoshindwa kusoma data hizo.

Kuna wakati alisoma kuwa ni laki moja, baadaye akaamua kutaja herufi moja moja (tarakimu) bila mafanikio, akarudia kutaja kwa maneno na kurudi kwenye tarakimu bila kufanikiwa.

Hongera Spika kwa kuwa mwelewa na kuokoa jahazi la CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom