Chadema wilaya ya kahama kwatifuka juhudi za hitajika kunusuru chama.

RUMANYIKA

JF-Expert Member
Feb 2, 2011
315
74
Kumekuwepo mgogoro baina ya uongozi wa chadema wilaya ya kahama mkoani shinyanga kati ya madiwani wenyewe kwa wenyewe na uongozi wa wilaya cdm kutoelewana. Hali hiyo imepelekea kuwa changanya wapenzi na mashabiki wa chama cha cdm kutoelewa wapi chama hicho kinapokwenda kwa sasa. Kumekuwepo hali ya kutoelewana kati ya madiwani cdm na kuandaa mikutano ya hadhara na kushutumiana wenyewe kwa wenyewe hali inayopelekea kurudisha maendeleo ya kupambana na ukuaji wa chama wilayani hapa. Ombi langu kwa viongoz wa cdm mkoa na taifa kuingilia mgawanyiko huo na kutatua mapema. Kwani hali hii imekua inajitokeza katika wilaya kadhaa kwa mpango mpya unaoratibiwa na baadhi ya makada wa ccm kupenyeza mihela ya kupandikiza migogoro. Baadhi wa wilaya zinazokabiliwa na migogo ya kiuongozi ni pamoja na kahama,kilombero,mwanza na singida.,
 
Nafikiri huo ni mgongano wa fikra. Jambo la muhimu wafikie muafaka kwa maendeleo ya chama na nchi yetu. Hata hivyo viongozi wa ngazi za juu wa chadema wasipuuze taarifa hiyo; mgogoro wa uongozi utatuliwe mapema. Katika vyama vya siasa na taasisi mbalimbali kuna watu ambao hawajui kufuata taratibu zinazoendesha taasisi hizo, wanajisema ovyo ovyo;wanapaswa kutambua si kila mtu ni msemaji.
 
Migogoro na migongano ya kifikra ni jambo la kuweka tahadhari,na hasa pale kunapokuwepo taarifa za kupenyezwa kwa vijisenti ili kuleta vurumai,na kwa huko kahama inawezekana kuna hujuma maana ndo makazi ya mwenyekiti wa CCM mkoa bwana Hamisi Mgeja,huwezi jua kuna weza kukatokea hujuma kupitia mtu anaeweza kuendekeza njaa.lakini nawakubali chadema hilio kama lipo kweli huko kahama litawekwa sawa na viongozi wa mkoa kma si wa kitafa
 
Migogoro na migongano ya kifikra ni jambo la kuweka tahadhari,na hasa pale kunapokuwepo taarifa za kupenyezwa kwa vijisenti ili kuleta vurumai,na kwa huko kahama inawezekana kuna hujuma maana ndo makazi ya mwenyekiti wa CCM mkoa bwana Hamisi Mgeja,huwezi jua kuna weza kukatokea hujuma kupitia mtu anaeweza kuendekeza njaa.lakini nawakubali chadema hilio kama lipo kweli huko kahama litawekwa sawa na viongozi wa mkoa kma si wa kitafa

Mkuu upo sawia kabisa! Ila hawa madiwani wa cdm wanapokua wanashutumiana katika mikutano ya hadhara wanayoindaa imekua ni kama kujibomoa wao na chama kwa ujumla. Ombi langu mie na mashabiki na wanachama mgogoro huu ni wa muda kidogo tunaomba utatuliwe mapema. Maana kuna kila dalili baadhi ya viongoz na madiwani wamepandikiziwa mihela michafu ya kukivuruga chama hapa kahama.
 
Nafikiri huo ni mgongano wa fikra. Jambo la muhimu wafikie muafaka kwa maendeleo ya chama na nchi yetu. Hata hivyo viongozi wa ngazi za juu wa chadema wasipuuze taarifa hiyo; mgogoro wa uongozi utatuliwe mapema. Katika vyama vya siasa na taasisi mbalimbali kuna watu ambao hawajui kufuata taratibu zinazoendesha taasisi hizo, wanajisema ovyo ovyo;wanapaswa kutambua si kila mtu ni msemaji.

Mkuu ujue kuna wakati huwa nasema labda ni elimu ya darasa la saba ya baadhi ya madiwani wa hapa au nitamaa au nikujisahau na kutokumbuka wajibu wao kwa waowatumikia. Maana jana kuna diwani wa cdm hapa kahama ameandaa mkutano na kumshamburia mwenzie kama wanatoka vyama tofauti. Sijui imekuaje mpaka wameshindwa kuyamaliza kwenye kamati za maadili chamani.
 
Back
Top Bottom