CHADEMA wazindulia msibani kampeni uchaguzi Sinza C

CHADEMA wazindulia msibani kampeni uchaguzi Sinza C

Kifaurongo

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2010
Posts
4,287
Reaction score
2,437
Leo trh 8 Des 2014 ilikuwa ni uzinduzi wa Kampeni za Chsdema uchaguzi serikali ya mtaa Sinza C.

Kwa kawaida mikutano hii hufanyika ktk eneo wazi maarufu jirani na Ukuta wa Posta.

Imenishangaza kuona leo wamefanyia eneo la kupaki magari nyumbani kabisa kwa M/kiti sasa wa serikali ya mtaa mzee Omart Magembe.

Imenisikitisha mzee huyu amefiwa na binti na kwa kupigwa short ya umeme laki spika zimefungwa usawa getini kwake na kana kwamba hakuna kitu kinachoendelea.

Nadhani walitaka kupuleka ujumbe fulani bahati mbaya wakazi wa mtaa wamesusa wakabaki pekee yao wengi wakiwa viongozi wa mitaa mingine ya Sinza.
 
weka picha acha porojo za kitoto
 
Leo trh 8 Des 2014 ilikuwa ni uzinduzi wa Kampeni za Chsdema uchaguzi serikali ya mtaa Sinza C. Kwa kawaida mikutano hii hufanyika ktk eneo wazi maarufu jirani na Ukuta wa Posta. Imenishangaza kuona leo wamefanyia eneo la kupaki magari nyumbani kabisa kwa M/kiti sasa wa serikali ya mtaa mzee Omart Magembe. imenisikitisha mzee huyu amefiwa na binti na kwa kupigwa short ya umeme laki spika zimefungwa usawa getini kwake na kana kwamba hakuna kitu kinachoendelea. Nadhani walitaka kupuleka ujumbe fulani bahati mbaya wakazi wa mtaa wamesusa wakabaki pekee yao wengi wakiwa viongozi wa mitaa mingine ya Sinza.

Chadema wanachotaka ni madaraka tu na si ubinaadamu.
 
Chadema wanachotaka ni madaraka tu na si ubinaadamu.

Vipi nyie mafisadi magamba mnachotaka Ni nini? Mmeshaiba za escrow mmekula huku wananchi wanakufa. Mna laana nyie. Sura mbaya Kama ccm. Eti Leo mnawatishia wabunge wenu na madiwani kuwa mitaa ikichukuliwa mnawafukuza uanachama mnashindwa kuelewa kuwa wananchi wamechoka Na lichama ambalo hakuna msaada zaidi ya ufisadi.
 
weka picha acha porojo za kitoto

nikuwekee picha itasaidia nini? Makosa ya kukosa ubinadamu kama haya yanakigharimu chama. Kesho chama kinapokataliwa tunakimbilia kusingizia kuibiwa kura.
 
Leo trh 8 Des 2014 ilikuwa ni uzinduzi wa Kampeni za Chsdema uchaguzi serikali ya mtaa Sinza C. Kwa kawaida mikutano hii hufanyika ktk eneo wazi maarufu jirani na Ukuta wa Posta. Imenishangaza kuona leo wamefanyia eneo la kupaki magari nyumbani kabisa kwa M/kiti sasa wa serikali ya mtaa mzee Omart Magembe. imenisikitisha mzee huyu amefiwa na binti na kwa kupigwa short ya umeme laki spika zimefungwa usawa getini kwake na kana kwamba hakuna kitu kinachoendelea. Nadhani walitaka kupuleka ujumbe fulani bahati mbaya wakazi wa mtaa wamesusa wakabaki pekee yao wengi wakiwa viongozi wa mitaa mingine ya Sinza.

Kwa kukuelewesha ww gamba, sehemu za mikutano zimeainishwa kisheria. Kama umetumwa kupiga porojo humu elewa hivyo. Nasikia nyie juzi mlifanya kikao cha familia. Umeonaje nomi ya Cdm?? Hivi Ccm mmekuwa wa kulalama siku hizi??
 
mleta maada umekura? maana Imelda kurupuka ka mwosha k2
 
nikuwekee picha itasaidia nini? Makosa ya kukosa ubinadamu kama haya yanakigharimu chama. Kesho chama kinapokataliwa tunakimbilia kusingizia kuibiwa kura.

yatagharimu kivipi
 
Chadema wanachotaka ni madaraka tu na si ubinaadamu.

Ubinadamu wapatikanaje bila binadamu? Na je madaraka yawapataje bila ubinadamu? Umwongozae ukiwa kiongozi ni binadamu, what are you talking!
 
Leo trh 8 Des 2014 ilikuwa ni uzinduzi wa Kampeni za Chsdema uchaguzi serikali ya mtaa Sinza C.

Kwa kawaida mikutano hii hufanyika ktk eneo wazi maarufu jirani na Ukuta wa Posta.

Imenishangaza kuona leo wamefanyia eneo la kupaki magari nyumbani kabisa kwa M/kiti sasa wa serikali ya mtaa mzee Omart Magembe.

Imenisikitisha mzee huyu amefiwa na binti na kwa kupigwa short ya umeme laki spika zimefungwa usawa getini kwake na kana kwamba hakuna kitu kinachoendelea.

Nadhani walitaka kupuleka ujumbe fulani bahati mbaya wakazi wa mtaa wamesusa wakabaki pekee yao wengi wakiwa viongozi wa mitaa mingine ya Sinza.

ni kweli tumefiwa na dada yetu Hidaya Magembe, na msiba tulizika alhamis, hivyo basi siku za Kampeni zimetolewa chache sasa unategemea kwa hali hii utafanyaje? tunajua mzee bado anamajonzi lakini kwasababu eneo la wazi ni pamoja na eneo lililo mbele ya nyumba yake hakuna budi kutumika kwa kufanya kazi za umma. R.I.P mama dully
 
ni kweli tumefiwa na dada yetu Hidaya Magembe, na msiba tulizika alhamis, hivyo basi siku za Kampeni zimetolewa chache sasa unategemea kwa hali hii utafanyaje? tunajua mzee bado anamajonzi lakini kwasababu eneo la wazi ni pamoja na eneo lililo mbele ya nyumba yake hakuna budi kutumika kwa kufanya kazi za umma. R.I.P mama dully

Poleni na hamjakosea kufanya ivyo. Siasa ni sehemu ya maisha kwa walio hai. Msiba tu wenyewe unahitaji kamati za uratibu.....sembuse siku kidogo zilizosalia kujipatia viongozi safi kipindi cha miaka 5 ijayo.
 
Back
Top Bottom