CHADEMA wawasha moto Itigi

CHADEMA wawasha moto Itigi

IYOMBO

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2015
Posts
381
Reaction score
218
Ni katika muendelezo wa harakati za kuingia Ikulu ambapo mh.john John Mnyika anatarajia kufanya mkutano mkubwa katika halmashauri ya mji mdogo wa ITIGI uliopo Singida,kamanda mnyika ataambatana na makamanda wa Mkoa wa Singida tarehe 26/4/2015 siku ya Jumapili, hivyo wananchi wote wa Itigi pamoja na viunga vyake mnakaribishwa ili kuwasikiliza watetezi wa taifa ili muweze kupata tumaini jipya.

Tulianza na Mungu,tupo na Mungu na tutaingia Ikulu na Mungu.
 
Aksante,mapambano yanaendelea hadi kieleweke.
 
CHADEMA kama siafu!. Wanashambulia Tanzania nzima kwa wakati mmoja. Nchi inageuzwa juu chini hadi kule ambako hawajawahi kutembelewa na kiongozi wa kitaifa tangu uwepo wa Tanzania!.

Kila la heri Makamanda. Tuko pamoja na ninyi!.
 
Huku mambo ni shwari kabisa,kinachosubiliwa ni october tu maana wananchi wameamuka na ushaidi ni uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
hatutaki kusikia mtu yupo ofisini ,siasa ni mabarabarani na mashambani-JK NYERERE
 
Kimadoi bangaega sanjaranda mlowa tambukareli majengo mlongojii potepote peopleeee
 
Hadema Tunataka Tumfikie Mtu Kwa Mtu, Huu Moto Ccm Hawauwezi, Mbinu Yao Ya Kuunda Act Imegonga Mwamba, Waangalie Mbinu Nyingine, Kama Wameishiwa Mbinu Wanyoshe Mikono Juu.
 
Huku mambo ni shwari kabisa,kinachosubiliwa ni october tu maana wananchi wameamuka na ushaidi ni uchaguzi wa serikali za mitaa.

Hongereni wapambanaji huko itigi,kumbe serikali za mitaa cdm tuling'aa hapo?
 
Hadema Tunataka Tumfikie Mtu Kwa Mtu, Huu Moto Ccm Hawauwezi, Mbinu Yao Ya Kuunda Act Imegonga Mwamba, Waangalie Mbinu Nyingine, Kama Wameishiwa Mbinu Wanyoshe Mikono Juu.

Vhita hana macho murah
 
Kufika vijijini kabisa naona ndiyo inafaa kujitangaza na kuelimisha jamii, Hongereni sana
 
hiki chama hakika nakikubali , hakikulala tangu kumalizika uchaguzi uliopita ! safi sana cdm .
 
Back
Top Bottom