Kauli hiyo ya Mnyika ilikuwa sawa na kumwaga petroli kwenye moto unaowaka ambapo wabunge watatu wa Chadema (majina tunayahifadhi kwa sasa) walikuja juu na kupinga vikali hoja hiyo.
Umbea mtupu, kama WAmetaja majina ya ZITTO NA MNYIKA HAYO MENGINE
WAMEYAFICHA YA NINI? UPISHI HUU,
Ni hatari sana kujishughulisha na jambo usililolijua, kwa sasa tunajua
wabunge wa chadema wanapinga hii kitu mpaka apo tutakapowasikia
wanaopinga kwa midomo yao wenyewe.
na kama wapo basi joto la chama limewazidia, Chama hakitaki mambo
ya kijinga jinga, na kukosa uwajibikaji, wakishindwa
wakiache alone