CHADEMA watoana macho Bungeni

Wote bado wana macho yao, wewe mwongo wa aina ya magamba
 
Tunakuwa viziwi dhidi ya upumbavu wa CCM
Tunakuwa vipofu dhidi ya upumbavu wa CCM
Tunakuwa mabubu dhidi ya upumbavu wa CCM

Tutaendelea kuwa hivyo, kuanzia sisi wenyewe na vizazi vyetu mpaka ukombozi utakapofika.

Suala la posho ni gumu kidogo mimi ningemuuliza zitto juu ya mkopo wa gari! ana Hammer ya nguvu, sasa kama ni uchungu wa nchi mbona kachukua millioni tisini tena? kwanini asizipeleke kwenye hicho kifungu? asidanganye watu bwana angisimmia woote waliopata magari mwaka jana wasichukue tena ningeelewa. hili la posho wacha tune mwisho wake. ila wasiondoe za madaktari maana tutarudi kule kule!
 
Hii habari iko kishabiki zaidi, source not disclosed.

Rating 0.4/10.

Soma gazeti la Mwananchi la leo!


Tues 21 June 5:31PM

Home Habari Habari za Siasa Posho yawagawa wabunge Chadema, watatu wapinga






[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Posho yawagawa wabunge Chadema, watatu wapinga
[/TD]
[TD="class: buttonheading, width: 100%, align: right"]Send to a friend
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: createdate"]Wednesday, 06 April 2011 21:57
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Kauli hiyo ya Mnyika ilikuwa sawa na kumwaga petroli kwenye moto unaowaka ambapo wabunge watatu wa Chadema (majina tunayahifadhi kwa sasa) walikuja juu na kupinga vikali hoja hiyo.

Umbea mtupu, kama WAmetaja majina ya ZITTO NA MNYIKA HAYO MENGINE
WAMEYAFICHA YA NINI? UPISHI HUU,

Ni hatari sana kujishughulisha na jambo usililolijua, kwa sasa tunajua
wabunge wa chadema wanapinga hii kitu mpaka apo tutakapowasikia
wanaopinga kwa midomo yao wenyewe.

na kama wapo basi joto la chama limewazidia, Chama hakitaki mambo
ya kijinga jinga, na kukosa uwajibikaji, wakishindwa

wakiache alone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…