CHADEMA wataka wabunge 2015 kufanya mtihani

CHADEMA wataka wabunge 2015 kufanya mtihani

kuna hatari huo ukawa ndo mwanzo wa kupata viongozi wabovu,navyowajua wabongo hizo paper zitaibiwa tu.....unahitajika mfumo uliotulia kudhibiti haya yote
 
Ni jambo zuri kama wataletwa wasimamizi kutoka EU. Bila shaka wameona utumbo wa wabunge wao kwenye bajet. Mtu kama sugu kweli unampa ubunge? Si bora hata ya diamond au chidi kuliko huyu failure wa kila kitu.
 
Hapo kuna watu hawatatoka!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom