kuwa Mbunge Ufanye MTIHANI????? au nimesikia vibaya? Hivi huo mTihani utaandaliwa na nani? Chama au wananchi? sijui utakuwa ni wa nini CIVICS au manake matakwa ya wanachi ni kama ukubwa wa DUNIA lol!! anyway kuishi kwingi kuona mengi huenda tukapata kitu kipya kuingiza kwenye GUINESS book kama ilivyo kwa aina ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambapo hadi leo wazungu hawajui inakuwaje umedumu kiasi hiki!!. na hisia kuwa huu utakuwa wizi wa demokrasia, tafakari....
Is this constitutional? Katiba ya CDM inazungumzia hii paper? Angalieni, watu watapiga paper wakifeli wanawahi kotini! Kumbuka Grade A students husomea Udaktari, Uhandisi, Sheria n.k., Grade B hujiajiri wenyewe na kufanya biashara zao, Grade C hujiunga na vyama vya siasa na kuwatala Grade A na B. Hakuna shaka paper ikisetiwa vizuri, wengi 'watazungusha'. Mjiandae pia kupambana na udanganyifu mf. Madesa, mig, mimba n.k.
Unataka ujue kabisa ili uandaliwe standadization au?.
hahahaha..kuna hatari hata viongozi wakuu wasipite hehehe
Makamanda naona sasa wengi watakimbia kugombea ubunge maana paper linatisha aisee
Napendekeza paper lisahishwe na Dr.Ndalichako itakuwa poa zaidi!
ASIFU WA LUKOSI
1.Huyu jamaa alikuwa polisi akafukuzwa sababu ya ajali katika msafara wa pm wakati ule John Malecela na kukimbilia Botwana kwa dada yake ambaye ni Nurse.2
2.Lukosi alifuatana na dadake nchini uk baada ya kupata kazi uk nayeye alipata nafasi ya kuambatana naye uk.
3.Lukosi alipata nafasi ya kujifanya mkimbizi na kuukana utanzania pamoja na porojo zake yeye uk anafahamika kama mkimbizi wa kisiasa na njaa.
4. Lukosi alipata kazi ya kuwa traffic warden kwa bahati mbaya alipata ajali ambayo ilimfanya adhurike kichwani alilazwa kwa muda mrefu na aliathirika na ajali ile kichwani.Kampuni aliyokuwa akiifanyia kazi ilimlipa malipo kutokana na ajali hiyo,na baada ya muda aliacha kazi na kuanza biashara.
5 Lukosi alianza biashara za kupeleka magari mabovu Tanzania na baiskeri za wizi kutokea maeneo ya barking&dagenham na baada ya muda alianza biashara nyingine ambazo wengi wanazijua.
6 Lukosi alijaribu kujiingiza kwenye siasa baada ya kukutana na mbunge Lema jijini London,na nia kubwa akifikiri atapata tender za kusafirisha mizigo na magari ya chadema.Alipewa nafasi kukaa hotelini kwa mzee ndesambulo jijini Dar kwa week moja free of charge.
7 Baada ya kukosa tender hiyo Lukosi alirudi ccm ambapo hajawahi kuwa mwanachama uk,na alianza kashfa nyingi kuhusu chadema na hii ni kutokana na waajiri wake wa biashara (sizisemi) kutoka Tanzania ambao ni wafadhiliwa na ccm kutokana biashara hizo.Ametumia muda mwingi mtandaoni ili wamkubali kuwa katoka chadema na anaichafua.
8 Kashfa aliyoitoa kwa mbunge Lema kuhusu kubaka huko London,kwa taarifa za uhakika yule dada ni muathirika wa VVU na alikuwa ni mpenzi wake LUKOSI kwa muda.
Tumdharau Lukosi kwa sababu ana ugonjwa wa pressure na inasemekana ni muathirika wa vvu si mwana siasa ila ni stress zinamsumbua naomba kutoa hoja
Hujafanya research kwa hayo uliyojaribu kuongelea....nakumbuka kuna mwaka Division one kali za PCB na PCM walienda kusoma B.com na leo hii wapo kwenye siasa....na kuna rafiki zangu ni Madaktari bugando...leo hii ni wanachama wa CDM mwanza!
...Sasa msahishaji mkuu ndio atakuwa Mwenyekiti Mbowe (Division O), just thinking aroud...
Unataka ujue kabisa ili uandaliwe standadization au?.
...Sasa msahishaji mkuu ndio atakuwa Mwenyekiti Mbowe (Division O), just thinking aroud...