Hapo kwenye red. Hilo lilikuwa KOSA KUBWA kuliko kuhudhuria interview yenyewe! Kamati Kuu ya Chama ilishatangaza mgogoro na hicho kituo how comes tena leo hii wawakilishi wa chama eti wana-discuss kama wawe interviewed au la?
Hata kile kitendo cha kukiwaza hicho kituo nje ya utaratibu uliowekwa na chama tayari ni uasi dhidi ya maagizo ya chama. Nimesikitika sana.